Kwenye
Kwenye second stanza umefanya kosa kubwa sana.
USIRUDIE TENA KUFANYA HAYO MAMBO.
 
Vp kuhusu
Ukungu, au kule kuna shida tofauti
 
Nimepita hapo juzi misitu ya chikangawe, ukungu mkubwa ulikuwepo, sasa hapo uwanja wa mzuzu upo barabarani tu na hakuna any complexity si angetua tu, mpaka atoke hapo aanze kuwaza kurudi lilongwe, watu hawataki mchezo, chakwera hakubaliki tena, labda kahisi jamaa anataka kuchukua siti.
 
Dah! Hawa Israeli kweli wamelaaniwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…