Why multiple threads?

Ili tupoteze focus?
 
Inabidi kwanza kujitoa kwenye mikataba ya kimataifa inayohusiana na zinazoitwa "haki za binadamu".Hayo mambo ya kupiga vita hukumu ya kifo yanaanzia huko.

Sasa niambie nchi yako inaweza?Vitu vinavyoitwa misaada au mikopo au ushirikiano na nchi zenye ukwasi katika nyanja muhimu,vyote huwa vinaambatana na masharti.

Mojawapo ni hilo linaloitwa "haki za binadamu".Kichaka cha haki za binadamu kimeficha mambo mengi sana,ushoga ukiwemo.
 
Hapa wapumbavu wa utajiri walihamia kweny ulawiti , sasa wamerudi rasmi kweny kuua albino hawa dawa yao inachemka.
 
Mkuu uganga upo kila sehemu hata huko China, Japan na South Korea unapopasemea... Tena uganga wao ni hatari.. Jaribu hii APP (KAYSA) ipo playstore.. Inaweza kukuambia mambo ya mbeleni mi niiliifuta maana sikutaka ukweli
 
Upo sawa. Hizo takataka zinafaa zichomwe moto kwenye incinerator.
Sio moto tu wakatwe taratibu kuanzia kucha hadi utosini na iwe hadharani ili watu wajifunze kwa kweli inasikitisha sana
Hapa nawaza huyo mtoto walimuua kwanza au walimkata viungo akiwa hai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…