UPDATE: Watumishi waliomwagiana Maji ya Dripu wakisherehekea 'Birthday' wasimamishwa Kazi

Eh walitumia maelfu ya drip kujimwagia kwani
Mkuu drip moja bei gani kwani

Ova
 
Inawezekana walijaza maji kwenye chupa zilizokwisha tumika kwa sababu zinabonyezeka hivyo kurusha maji.
 
mbona mabro mnafika mbali sana[emoji23][emoji23]

tupate umri wa hao wahudumu kwanza.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Sisi tuliozaliwa miaka ya 70's na 80's hatukuwa na birthday utotoni mwetu haya maisha ya kusherehekea birthday tumeanza kuyaona miaka ya 90's....

Kipindi hicho MASHOGA walikuwa wachache tofauti na miaka hii ya kwenu
 
Nimeambiwa walichukua chupa tupu za drip zilizotumika wakajaza maji ya kawaida ili wazitumie kurusha maji.
Hakuna kesi.
 
Sisi tuliozaliwa miaka ya 70's na 80's hatukuwa na birthday utotoni mwetu haya maisha ya kusherehekea birthday tumeanza kuyaona miaka ya 90's....

Kipindi hicho MASHOGA walikuwa wachache tofauti na miaka hii ya kwenu
hawa ni vijana wa 2000,ndio hata hutuomba tuwapost kwenye status zetu.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
GEITA: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Sakamu amewasimamisha kazi Watumishi wa Afya walioonekana kwenye Video iliyosambaa Mtandaoni wakimwagiana Maji ya Dripu kwa lengo la Kusherehekea Siku ya Kuzaliwa ya Mmoja wao

Pamoja na Mkurugenzi kuomba radhi kwa kitendo hicho, amesema Hospitali imechukua hatua hizo ili kupisha uchunguzi kwaajili ya kuchukua hatua zaidi za Kiutumishi kwa kuzingatia Kanuni na Taratibu kulingana na Mabaraza ya Kitaaluma

Soma UPDATE: Watumishi waliomwagiana Maji ya Dripu wakisherehekea 'Birthday' wasimamishwa Kazi

#JamiiForums #Governance #JFUwajibikaji23 #Accountability #Afya
 
Serikali yetu bhn, ujinga ujinga mwingi sana. Mara sjui mkuu wa shule kasimamishwa kisa honey ya zuchu mara sjui usenge gani, hamna kazi za kufanya..??
 
Dah .
Pole yao.
Mwezi huu unawekwa pembeni!? Unaweza chukiwa na ukoo mzima. Mwezi wa ada!?😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…