Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kwakweli inabidi niweHaa, hata mtumishi wa Bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli inabidi niweHaa, hata mtumishi wa Bwana
KabisaKwakweli inabidi niwe
japo serikali sikivu inajitaidi ila dua ni muhimu...haya bana nikuache binti yangu acha nikapambane na jamaa wa chadema uko jukwa la siasaKwakweli tuombeane tu ndo kilichobaki
Sawa usiku mwema Babu.. angalia tu wasikuumize hao watujapo serikali sikivu inajitaidi ila dua ni muhimu...haya bana nikuache binti yangu acha nikapambane na jamaa wa chadema uko jukwa la siasa
Ndio maana wamesimamishwa kazi, ili kupisha uchunguzi.Wamejaza maji kawaida kwenye hizo drip nalo ni kosa ???
Hao wanaume wapigwe nyundo ya maanaNilijua tu hawa watakuwa wanawake kwani wapenda sana kufanya vijisherehe uchwara....hawataki kupitwa na sherehe yoyote. Tatizo ni hawo wanaume wsliojichomeka humo kwenye sherehe. Hawa wanaume yafaa wachukuliwe hatua maradufu zaidi.
Wanapenda habari kama hizi kufunika udhaifu wao. Mabos wengi ni very weak intellectually and ethically.Kuna mambo mengi sana ya msingi serikali ya kuyatolea ufafanuzi na si hiyo birthday.
-Umeme kila siku unakatika
-Barabara mbovu/hazipitika ,wanafunzi wanavuka kwa kuogelea kwenda shule
-Hospital rushwa kibao
-Matumizi ya anasa serikalini.
-Upigaji /20% kibao.
-Treni ya Mwendo kasi 160km/hr sawa na speed ya Hitcher wakati Mwendo kasi Dalali Kitenge katuonyesha ni 318km/hr.
Wewe ni mzee wa mwaka gani?Vijana waliozaliwa miaka ya 90's na 2000's wana laana
Hakuna Sheria inayosema ukimwagiana maji ya drip ya 250tsh utafungwa au kufukuzwa kazi, nashauri Serikali ijitenge na shauri hili, maana litawapunguzia heshima, watawasimamishwa au kuwafukuzwa kazi mwishowe watafungua kesi na kushinda na watadai fidia, kwanza hakuna ushahidi wa yale maji ndani yalikuwa ya drip! Sawa na wasanii wanaoigiza wanakunywa pombe kumbe hajawahi kuonja na ndani ya chupa ameweka juice!Kama itabqinika ni kweli basi nashauri watu hao wafukuzwe kazi pia wafunguliwe mashitaka kwa mujibu wa sheria.