UPDATE: Watumishi waliomwagiana Maji ya Dripu wakisherehekea 'Birthday' wasimamishwa Kazi

UPDATE: Watumishi waliomwagiana Maji ya Dripu wakisherehekea 'Birthday' wasimamishwa Kazi

Kati ya Kingwendu na Muhogo mchungu nani anapiga k vant pasipo kuchanganya au Kirikuu cha moto.
 
Hakuna Sheria inayosema ukimwagiana maji ya drip ya 250tsh utafungwa au kufukuzwa kazi, nashauri Serikali ijitenge na shauri hili, maana litawapunguzia heshima, watawasimamishwa au kuwafukuzwa kazi mwishowe watafungua kesi na kushinda na watadai fidia, kwanza hakuna ushahidi wa yale maji ndani yalikuwa ya drip! Sawa na wasanii wanaoigiza wanakunywa pombe kumbe hajawahi kuonja na ndani ya chupa ameweka juice!
Umemaliza mkuu nadhani wengi walikuwa hawajui uthamani wa kinachomwagwa hata wangemwaga kumi Mimi sioni shida maana thamani itakuwa haijafika hata Lita mbili za mafuta ya VX
 
Si ajabu kuna siku watarekodi wakidinyana huko kwa hospital ward
 
Hii nchi sasa hivi inaelekea kubaya sana watumishi wana matatizo yao mengi sana hayafanyiwi kazi wana stress za kwenda likizo bila malipo kupandishiwa mshahara na madaraja hakuna anayewasikiliza wanasubiria afanye kosa kwa wananchi ili wanasiasa na wana harakati wachukue points tatu muhimu.
 
Umemaliza mkuu nadhani wengi walikuwa hawajui uthamani wa kinachomwagwa hata wangemwaga kumi Mimi sioni shida maana thamani itakuwa haijafika hata Lita mbili za mafuta ya VX
Hii tabia ya watanzania kushabikia matatizo au anguko la watu au kuchukia watu wenye pesa na kazi ni kubwa sana yaani mpaka unajiuliza shida iko wapi.
 
Back
Top Bottom