Hakuna Sheria inayosema ukimwagiana maji ya drip ya 250tsh utafungwa au kufukuzwa kazi, nashauri Serikali ijitenge na shauri hili, maana litawapunguzia heshima, watawasimamishwa au kuwafukuzwa kazi mwishowe watafungua kesi na kushinda na watadai fidia, kwanza hakuna ushahidi wa yale maji ndani yalikuwa ya drip! Sawa na wasanii wanaoigiza wanakunywa pombe kumbe hajawahi kuonja na ndani ya chupa ameweka juice!