Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

1. Wachaga - Kama kawaida yao sio watu wa kujisifia iwe ni biashara, maendeleo ya vijini kwao, n.k. Kiufupi hawa suala la elimu wapo Mbali tangu enzi za ukoloni, Mkoa wa Kilimanjaro ni mdogo ila ndio unaongoza kwa shule nyingi hasa maeneo ya uchagani, Kitu cha ziada ambacho wengi hawakijui ni kwamba wana mwamko wa shule za kimataifa na hata miji wanayoishi ya Moshi na Arusha kuna shule hizi nyingi kama St Constatine, Braeburn, INternational school of Moshi, Kennedy house, n.k. Kwenye shule hizi watoto utaowakuta kutoka Tz ni wachache ila majority huwa ni wachaga kwasababu ya mwamko, sio suala la mzazi kuwa na pesa tu, na hata zile nafasi za udhamini wanazijaza wao, Shule hizi ni tofauti kabisa na hizi za Necta, huku ukisoma kuna guarantee kubwa kusoma vyuo bora duniani, Walimu bora wa kimataifa, connections nzito, n.k.

2. Wahaya - Yes, Ni nani asiewajua watu hawa waliowekewa kizuizi na Nyerere kwa alama za kufaulu darasa la saba ? Hawa watu wanaipenda shule jamani, Shida ni kwamba kuna changamoto za kiuchumi mkoani Kagera, wapo wengi wanaotamanigi kuendelea na shule na uwezo upo ila inawalazimu waendelee na maisha mengine,

3. Wanyakyusa - Ughonile, Nimeishi nao so nawajua vizuri hawa kina Mwakyusa, Mwakatobe, Mwakyembe, Bukuku, n.k., wazazi wa kinyakyusa hasa wamama wanaasa sana watoto wasome, wapo tayari kujinyima kwa lolote mtoto asome shule nzuri, Nakumbuka nikiwa Mbeya mtu anaweza kuresit form 4 hata mara 3 kutafuta credit, hawana jambo dogo kwenye elimu !! kuhusu uwezo darasani wanao wa kawaida ila wapo wachache nishawai kutana nao ni ma genius, Kwa sasa Mbeya ndio mkoa inaoongoza kwa vyuo ukiitoa Dsm, Kuba shule za kiingereza 4 za serikali za msingi, Shule za Sekondari zipo nyingi

4. Wasukuma - wasukuma wapo wengi sana hii nchi ila tatizo maeneo yao mengi hawaipi elimu kipaumbele, mikoa waliyojazana wasukuma kama Simiyu, Geita, Shinyanga, n.k elimu haipewi uzito na shule ni chache, Mwanza ndio inawabeba.... Laiti wasukuma wangejiongeza kielimu lingekuwa ni tishio kubwa sana hapa nchini maana katika kila watanzania sita kuna msukuma moja, Huenda mkoloni hakupeleka elimu usukumani alishaona watadominate sana.

5. Wakerewe / Wajita - (Hapa nitaomba mnisahishe hivi wakerewe na wajita ni kabila moja ? ) Anyway nachojua Wakerewe wapo visiwa vya ukerewe, Wajita wapo ukerewe na mkoa wa Mara, Ukerewe ndio wilaya inayoongoza kwa phd na upande wa mkoa wa Mara Jimbo kama musoma vijijini huko ni kawaida wagombea wote kuwakuta wana phd, hawapo namba moja kwasababu wanaosoma wanafika mbali sana kielimu ila wanaopata access ya elimu bado wachache.

Bonus....

Wapare, Wakurya, wamasai wa Meru, Wamatengo wa Ruvuma, n.k. huku changamoto ni access ya elimu ila angalau nao si haba.
Hawa wasomi ndio wanatuletea mgao wa umeme, elimu ya namna hii haina tija zaidi ya sifa za kipuuzi
 
Darasa la saba hawezi kuendesha Tanesco au taasisi yeyote ya serikali, ni wasomi hao hao mnaosema ndio waongozaji
Shot callers ni politicians mkuu, wasomi wa kwenye vitengo ni watekelezaji.

Lakini pia hao machawa nao wanapewa sana teuzi bila kujali elimu.
 
Shot callers ni politicians mkuu, wasomi wa kwenye vitengo ni watekelezaji.

Lakini pia hao machawa nao wanapewa sana teuzi bila kujali elimu.
Kama wanashiriki kutekeleza uharibifu sasa elimu yao inakazi gani? bora mimi la saba B watu watajua uwezo wangu wa kufikiri mdogo
 
1. Wachaga - Kama kawaida yao sio watu wa kujisifia iwe ni biashara, maendeleo ya vijini kwao, n.k. Kiufupi hawa suala la elimu wapo Mbali tangu enzi za ukoloni, Mkoa wa Kilimanjaro ni mdogo ila ndio unaongoza kwa shule nyingi hasa maeneo ya uchagani, Kitu cha ziada ambacho wengi hawakijui ni kwamba wana mwamko wa shule za kimataifa na hata miji wanayoishi ya Moshi na Arusha kuna shule hizi nyingi kama St Constatine, Braeburn, INternational school of Moshi, Kennedy house, n.k. Kwenye shule hizi watoto utaowakuta kutoka Tz ni wachache ila majority huwa ni wachaga, sio suala la mzazi kuwa na pesa pekee bali na mwamko wa kuwapa watoto elimu ya kimataifa, na hata zile nafasi za udhamini watanzania kusoma bure huwa ni watoto wa kichaga. Ikumbukwe shule hizi ni tofauti kabisa na hizi za Necta, huku ukisoma kuna guarantee kubwa kusoma vyuo bora duniani, Luhgha za wazungu walimu ni wazungu, connections nzito za watoto wa wazito, n.k.

2. Wahaya - Yes, Ni nani asiewajua watu hawa waliowekewa kizuizi na Nyerere kwa alama za kufaulu darasa la saba ? Hawa watu wanaipenda shule jamani, Shida ni kwamba kuna changamoto za kiuchumi mkoani Kagera, wapo wengi wanaotamanigi kuendelea na shule na uwezo upo ila inawalazimu waendelee na maisha mengine,

3. Wanyakyusa - Ughonile, Nimeishi nao so nawajua vizuri hawa kina Mwakyusa, Mwakatobe, Mwakyembe, Bukuku, n.k., wazazi wa kinyakyusa hasa wamama wanaasa sana watoto wasome, wapo tayari kujinyima kwa lolote mtoto asome shule nzuri, Nakumbuka nikiwa Mbeya mtu anaweza kuresit form 4 hata mara 3 kutafuta credit, hawana jambo dogo kwenye elimu !! kuhusu uwezo darasani wanao wa kawaida ila wapo wachache nishawai kutana nao ni ma genius, Kwa sasa Mbeya ndio mkoa inaoongoza kwa vyuo ukiitoa Dsm, Kuba shule za kiingereza 4 za serikali za msingi, Shule za Sekondari zipo nyingi

4. Wasukuma - wasukuma wapo wengi sana hii nchi ila tatizo maeneo yao mengi hawaipi elimu kipaumbele, mikoa waliyojazana wasukuma kama Simiyu, Geita, Shinyanga, n.k elimu haipewi uzito na shule ni chache, Mwanza ndio inawabeba.... Laiti wasukuma wangejiongeza kielimu lingekuwa ni tishio kubwa sana hapa nchini maana katika kila watanzania sita kuna msukuma moja, Huenda mkoloni hakupeleka elimu usukumani alishaona watadominate sana.

5. Wakerewe / Wajita - (Hapa nitaomba mnisahishe hivi wakerewe na wajita ni kabila moja ? ) Anyway nachojua Wakerewe wapo visiwa vya ukerewe, Wajita wapo ukerewe na mkoa wa Mara, Ukerewe ipo mkoa wa Mwanza lakini kijiografia ipo mkoa wa Mara, Ukerewe inaongoza kwa utitiri wa phd Tanzania nzima, upande wa mkoa wa Mara Jimbo kama musoma vijijini huko ni kawaida wagombea wote kuwakuta wana phd, Kundi hili sijaliweka namba moja kwasababu wakazi wa huko wengi hawana access nzuri ya elimu ila wachache wanaoipata ndio wanafikia mpaka phd ila ukihessabu walioweza kufika hata degree bado wachache,

Bonus....

Wapare, Wakurya, wamasai wa Meru, Wamatengo wa Ruvuma, n.k. huku changamoto ni access ya elimu ila angalau nao si haba.
Wachaga waliosoma sana ni wale wa Zamani; idadi ya wachaga wasomi siku hizi imepungua sana, nadhani ni kabila la nne au la tano kwa wasomi leo.
 
Wachaga waliosoma sana ni wale wa Zamani; idadi ya wachaga wasomi siku hizi imepungua sana, nadhani ni kabila la nne au la tano kwa wasomi leo.
Mkuu usijizime data, nakukumbusha tu kwamba mkoa wa Kilimanjaro pamoja na eneo lake dogo ndio mkoa unaoongoza kwa shule nyingi zaidi nchini, na wanaofaulu kwenda vyuoni ni wengi pia,
 
Jwenye hio list wengi wamesaidiwa na mkoloni tangu zamani kasoro msukuma, Msukuma angewezeshwa ange dominate
Magu aliwabeba sana aliwapa vyeo wakapiga hela. Aliwapa kipaumbele cha scholarships za nje ya nchi. Wachache ndio waliothamini mchango wake na kufanya kweli. Wengi walibweteka wakijua washachukua nchi.
 
Magu aliwabeba sana aliwapa vyeo wakapiga hela. Aliwapa kipaumbele cha scholarships za nje ya nchi. Wachache ndio waliothamini mchango wake na kufanya kweli. Wengi walibweteka wakijua washachukua nchi.
Magu ilibidi aweke chuo kikubwa Mwanza kiwe na hadhi ya Udsm kiitwe University of Mwanza, hizo scholarships ni za muda tu, kaondoka nazo zimekufa,

Haiingii akilini jiji la pili kwa ukubwa hakuna chuo kikuu chenye makao yake makuu Mwanza,
 
Hao ndio waliolifikisha Taifa hapa lilipo kutokana na wizi, hujuma, undugunization, umimi na ulimbikizaji wa mali za umma.

Kwenye nafasi nyeti nyingi zinazosemwa zinahujumu umma utakutana na makabila hayo kwa kiwango kikubwa.

Mungu mrehemu mwl JK popote alipo.
[emoji419][emoji419][emoji375]
 
Hivi hawa Bwana Utam FaizaFoxy na wenzao ni kabila gani, mbona sijaona makabila ya Pwani, Muarabu aliwaharibu sana hao.
elimu ipo chini hayo maeneo ila ina affect zaidi wale wa upande bara, kwa visiwani wanakula bata kwa mrija wa muungano, ukitokea visiwani kuna quota system inawabeba kielimu na hata kupata ajira za bara
 
Magu ilibidi aweke chuo kikubwa Mwanza kiwe na hadhi ya Udsm kiitwe University of Mwanza, hizo scholarships ni za muda tu, kaondoka nazo zimekufa,

Haiingii akilini jiji la pili kwa ukubwa hakuna chuo kikuu chenye makao yake makuu Mwanza,
Kuna kitu kinaitwa quality over quantity kuna familia zina watoto wachache lakini wako vyema mbaya. Lakini kuna matajiri wana watoto wanajaza Costa na wote ni majanga. Hii haiendani na kabila ni kuzaa kulingana na uwezo wa kulea.
 
Hao ndio waliolifikisha Taifa hapa lilipo kutokana na wizi, hujuma, undugunization, umimi na ulimbikizaji wa mali za umma.

Kwenye nafasi nyeti nyingi zinazosemwa zinahujumu umma utakutana na makabila hayo kwa kiwango kikubwa.

Mungu mrehemu mwl JK popote alipo.

Soma na Peleka watoto shule uache makasiriko ya reja reja. Hakuna mtu anapambana ili alishe familia ya mtu mwingine, charity begins at home. Hata wewe ukipata shavu utaanza na watu wako wa Karibu Kabla ya watu wa nje.
 
Back
Top Bottom