Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

Soma na Peleka watoto shule uache makasiriko ya reja reja. Hakuna mtu anapambana ili alishe familia ya mtu mwingine, charity begins at home. Hata wewe ukipata shavu utaanza na watu wako wa Karibu Kabla ya watu wa nje.
Hali ingekuwa mbaya sana zaidi ya hapa, Tumshukuru sana Nyerere alijitahidi sana kupunguza ukabila, ila ukweli ni kwamba bado kuna chembechembe za watu kubebana kikabila
 
Mkuu usijizime data, nakukumbusha tu kwamba mkoa wa Kilimanjaro pamoja na eneo lake dogo ndio mkoa unaoongoza kwa shule nyingi zaidi nchini, na wanaofaulu kwenda vyuoni ni wengi pia,
Usikariri historia. Wingi wa shule siyo wingi wa wasomi nchini labda kama unahesabu form 4 na form 6 pia kama usomi, lakini iwapo utachukulia usomi halisi kuwa ni professionals wenye digrii wachaga siyo wengi kama zamani. Ukitaka sample ndogo tu ni kukusanya prospectus za vyuo vyote nchini uangalie walimu wake wengi wanatoka makabila gani. Halafu pitia mahospitali yote nchini ya binafsi na ya serikali uangalia madaktari wengi wanatoka makabila gani, mwishowe pitia makampuni yote ya sheria nchini na mahakama zote unagalie wanasheria wengi wanatoka makabila gani. Usisahahu pia kwenda ERB uchukue sensa za mainjinia huko uone wengi wanatoka makabila yapi. Vile vile pitia pia NBAA uangalie CPA wengi wanatoka makabila yapi.

Baada ya kukusanya data hizo ndipo utoe conclusion.
 
Sijawaona WAPARE kwenye list yako
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wanyakyusa
4. Wasukuma
5. Wapare
hio list uliyoiweka bila wakerewe haijakamilika, wakerewe ndio wenye phds nyingi zaidi nchini

Wapare nao ni wasomi ila kwa suala la kuwa na share kubwa ya wasomi, wamepitwa sana na hayo top 5 Daraja A.

Wapare mnaongozea daraja B lenye wamasai, wahehe, wakurya, n.k.
 
ni uzi mzuri, ila kwa terms and conditions za JF sitoshangaa moderaters wakiufuta huko mbeleni.

hii itategemea na hali ya hewa ya uzi weyewe kupitia emotions za wachangia mada hususan ndg zangu wa pwani ya tz.

ngoja tusibiri bibie faiza na kaka yake riz waamke.
 
1. Wachaga - Kama kawaida yao sio watu wa kujisifia iwe ni biashara, maendeleo ya vijini kwao, n.k. Kiufupi hawa suala la elimu wapo Mbali tangu enzi za ukoloni, Mkoa wa Kilimanjaro ni mdogo ila ndio unaongoza kwa shule nyingi hasa maeneo ya uchagani, Kitu cha ziada ambacho wengi hawakijui ni kwamba wana mwamko wa shule za kimataifa na hata miji wanayoishi ya Moshi na Arusha kuna shule hizi nyingi kama St Constatine, Braeburn, INternational school of Moshi, Kennedy house, n.k. Kwenye shule hizi watoto utaowakuta kutoka Tz ni wachache ila majority huwa ni wachaga, sio suala la mzazi kuwa na pesa pekee bali na mwamko wa kuwapa watoto elimu ya kimataifa, na hata zile nafasi za udhamini watanzania kusoma bure huwa ni watoto wa kichaga. Ikumbukwe shule hizi ni tofauti kabisa na hizi za Necta, huku ukisoma kuna guarantee kubwa kusoma vyuo bora duniani, Luhgha za wazungu walimu ni wazungu, connections nzito za watoto wa wazito, n.k.

2. Wahaya - Yes, Ni nani asiewajua watu hawa waliowekewa kizuizi na Nyerere kwa alama za kufaulu darasa la saba ? Hawa watu wanaipenda shule jamani, Shida ni kwamba kuna changamoto za kiuchumi mkoani Kagera, wapo wengi wanaotamanigi kuendelea na shule na uwezo upo ila inawalazimu waendelee na maisha mengine, halafu pia wao na makabila mengine wana mwamko mdogo sana na International schools, Mhaya mwenye pesa za kutosha atapeleka mtoto wake Kaizarage ya Bukoba ama saint Francis huko Mbeya yani hana mwamko kabisa kujua kwamba kuna shule International.

3. Wanyakyusa - Ughonile, Nimeishi nao so nawajua vizuri hawa kina Mwakyusa, Mwakatobe, Mwakyembe, Bukuku, n.k., wazazi wa kinyakyusa hasa wamama wanaasa sana watoto wasome, wapo tayari kujinyima kwa lolote mtoto asome shule nzuri, Nakumbuka nikiwa Mbeya mtu anaweza kuresit form 4 hata mara 3 kutafuta credit, hawana jambo dogo kwenye elimu !! kuhusu uwezo darasani wanao wa kawaida ila wapo wachache nishawai kutana nao ni ma genius, Kwa sasa Mbeya ndio mkoa inaoongoza kwa vyuo ukiitoa Dsm, Kuba shule za kiingereza 4 za serikali za msingi, Shule za Sekondari zipo nyingi

4. Wasukuma - wasukuma wapo wengi sana hii nchi ila tatizo maeneo yao mengi hawaipi elimu kipaumbele, mikoa waliyojazana wasukuma kama Simiyu, Geita, Shinyanga, n.k elimu haipewi uzito na shule ni chache, Mwanza ndio inawabeba.... Laiti wasukuma wangejiongeza kielimu lingekuwa ni tishio kubwa sana hapa nchini maana katika kila watanzania sita kuna msukuma moja, Huenda mkoloni hakupeleka elimu usukumani alishaona watadominate sana, na pia licha ya Mwanza kuwa jiji la pili kwa ukubwa Tz hawana chuo kikuu.

5. Wakerewe - wakerewe wapo katika kisiwa kidogo cha Ukerewe, kwa mipaka ya ramani kipo mkoa wa Mwanza lakini kiuhalisia kipo mkoa wa Mara, wakerewe ndio wanaongoza nchi nzima kwa kuwa na maprofesa wengi zaidi wenye phd za kutafuta darasani, Sababu ya kuwa namba tano ni idadi yao (population) kuwa ndogo.

Bonus....

Watu wa Mara - sijajua ni kabila lipi kati ya wajita, wakurya, wajaluo au wazanaki lakini nimesoma vyanzo mbali mbali kwamba mkoa huu ni kinara wa kutoa wasomi wengi, Majimbo kama Musoma vijijini ule mchujo tu wa kupata mbunge wa kupitishwa ni phd tupu.


Makabila mengine ni Wapare, wamasai wa Meru, Wamatengo wa Ruvuma, n.k.
Mbona huja waweka watu wa kizimkazi ?
 
Usikariri historia. Wingi wa shule siyo wingi wa wasomi nchini labda kama unahesabu form 4 na form 6 pia kama usomi, lakini iwapo utachukulia usomi halisi kuwa ni professionals wenye digrii wachaga siyo wengi kama zamani. Ukitaka sample ndogo tu ni kukusanya prospectus za vyuo vyote nchini uangalie walimu wake wengi wanatoka makabila gani. Halafu pitia mahospitali yote nchini ya binafsi na ya serikali uangalia madaktari wengi wanatoka makabila gani, mwishowe pitia makampuni yote ya sheria nchini na mahakama zote unagalie wanasheria wengi wanatoka makabila gani. Usisahahu pia kwenda ERB uchukue sensa za mainjinia huko uone wengi wanatoka makabila yapi. Vile vile pitia pia NBAA uangalie CPA wengi wanatoka makabila yapi.

Baada ya kukusanya data hizo ndipo utoe conclusion.
Simsupport kwa takwimu zake ila hujamuelewa. Wewe unaongelea ajira zaidi, yeye anaongelea usomi.
 
Kusoma ni vizuri lakin kama huna emotional za Kaz au biashara utabak kuitwa Dr na Prof tu.
 
Wamelisaidiaje Taifa letu,Hua naumia sana kuona Tz maskini. Miundombinu mibovu (Barabara,reli nk) wakati limesheheni human resources na natural resources zakutoshe Mungu kabariki.
 
I wish ningekua Rais,mafisadi na wakwamishaji wangejutaa! Miaka 60 Bado nchi imejaa Barabara za Vumbii.
 
Simsupport kwa takwimu zake ila hujamuelewa. Wewe unaongelea ajira zaidi, yeye anaongelea usomi.
Na wewe labda pia hukuinielewa vizuri. Hizo sources za data nilizotoa ndiyo statistical representation nzuri ya distribution ya wasomi; siyo kuwa wasomi wote wanafanya kazi hizo, wengine huenda wana digrii zao lakini wanafanya shughuli zisizohusiana kabsa na digrii zao kwa mfano wanauza madini au ni wakulima au wqana maduka yao, lakini distribution nzuri ya wasomi itaonyeshwa na presense yao katika fields hizo nilzosema.

Idadi ya shule za sekondari Kilimanjaro ilikuwa kipimo kizuri zamani lakini siyo siku hizi. Angalia jinsi nchi nzima ilivyo na shule za sekodari, kanda ya ziwa siku hizi ina shule nyingi sana leo.

1704259142364.jpeg
 
Hivi hawa Bwana Utam FaizaFoxy na wenzao ni kabila gani, mbona sijaona makabila ya Pwani, Muarabu aliwaharibu sana hao.
Baba zanzibar mama mombasa halaf tuna akili mpaka zinamwagika
Sisi kwetu wasiokua na akili basi ndio wanafanana na wewe
Usinitag kwenye mambo ya ajabu mdogo wangu 🤨
 
Hao ndio waliolifikisha Taifa hapa lilipo kutokana na wizi, hujuma, undugunization, umimi na ulimbikizaji wa mali za umma.

Kwenye nafasi nyeti nyingi zinazosemwa zinahujumu umma utakutana na makabila hayo kwa kiwango kikubwa.

Mungu mrehemu mwl JK popote alipo.
Hata huyo alikuwa muizi tu mbinafsi umimi
 
1. Wachaga - Kama kawaida yao sio watu wa kujisifia iwe ni biashara, maendeleo ya vijini kwao, n.k. Kiufupi hawa suala la elimu wapo Mbali tangu enzi za ukoloni, Mkoa wa Kilimanjaro ni mdogo ila ndio unaongoza kwa shule nyingi hasa maeneo ya uchagani, Kitu cha ziada ambacho wengi hawakijui ni kwamba wana mwamko wa shule za kimataifa na hata miji wanayoishi ya Moshi na Arusha kuna shule hizi nyingi kama St Constatine, Braeburn, INternational school of Moshi, Kennedy house, n.k. Kwenye shule hizi watoto utaowakuta kutoka Tz ni wachache ila majority huwa ni wachaga, sio suala la mzazi kuwa na pesa pekee bali na mwamko wa kuwapa watoto elimu ya kimataifa, na hata zile nafasi za udhamini watanzania kusoma bure huwa ni watoto wa kichaga. Ikumbukwe shule hizi ni tofauti kabisa na hizi za Necta, huku ukisoma kuna guarantee kubwa kusoma vyuo bora duniani, Luhgha za wazungu walimu ni wazungu, connections nzito za watoto wa wazito, n.k.

2. Wahaya - Yes, Ni nani asiewajua watu hawa waliowekewa kizuizi na Nyerere kwa alama za kufaulu darasa la saba ? Hawa watu wanaipenda shule jamani, Shida ni kwamba kuna changamoto za kiuchumi mkoani Kagera, wapo wengi wanaotamanigi kuendelea na shule na uwezo upo ila inawalazimu waendelee na maisha mengine, halafu pia wao na makabila mengine wana mwamko mdogo sana na International schools, Mhaya mwenye pesa za kutosha atapeleka mtoto wake Kaizarage ya Bukoba ama saint Francis huko Mbeya yani hana mwamko kabisa kujua kwamba kuna shule International.

3. Wanyakyusa - Ughonile, Nimeishi nao so nawajua vizuri hawa kina Mwakyusa, Mwakatobe, Mwakyembe, Bukuku, n.k., wazazi wa kinyakyusa hasa wamama wanaasa sana watoto wasome, wapo tayari kujinyima kwa lolote mtoto asome shule nzuri, Nakumbuka nikiwa Mbeya mtu anaweza kuresit form 4 hata mara 3 kutafuta credit, hawana jambo dogo kwenye elimu !! kuhusu uwezo darasani wanao wa kawaida ila wapo wachache nishawai kutana nao ni ma genius, Kwa sasa Mbeya ndio mkoa inaoongoza kwa vyuo ukiitoa Dsm, Kuba shule za kiingereza 4 za serikali za msingi, Shule za Sekondari zipo nyingi

4. Wasukuma - wasukuma wapo wengi sana hii nchi ila tatizo maeneo yao mengi hawaipi elimu kipaumbele, mikoa waliyojazana wasukuma kama Simiyu, Geita, Shinyanga, n.k elimu haipewi uzito na shule ni chache, Mwanza ndio inawabeba.... Laiti wasukuma wangejiongeza kielimu lingekuwa ni tishio kubwa sana hapa nchini maana katika kila watanzania sita kuna msukuma moja, Huenda mkoloni hakupeleka elimu usukumani alishaona watadominate sana, na pia licha ya Mwanza kuwa jiji la pili kwa ukubwa Tz hawana chuo kikuu.

5. Wakerewe - wakerewe wapo katika kisiwa kidogo cha Ukerewe, kwa mipaka ya ramani kipo mkoa wa Mwanza lakini kiuhalisia kipo mkoa wa Mara, wakerewe ndio wanaongoza nchi nzima kwa kuwa na maprofesa wengi zaidi wenye phd za kutafuta darasani, Sababu ya kuwa namba tano ni idadi yao (population) kuwa ndogo.

Bonus....

Watu wa Mara - sijajua ni kabila lipi kati ya wajita, wakurya, wajaluo au wazanaki lakini nimesoma vyanzo mbali mbali kwamba mkoa huu ni kinara wa kutoa wasomi wengi, Majimbo kama Musoma vijijini ule mchujo tu wa kupata mbunge wa kupitishwa ni phd tupu.


Makabila mengine ni Wapare, wamasai wa Meru, Wamatengo wa Ruvuma, n.k.
We bwege unawashaga na ukabila. Tuambie hiyo sensa ilifanyika lini. Mwaka mpya unaanza na post ya kipumbavu hivi? Utaumaliza mwaka kufanya maupumbavu tu we kenge.
 
Back
Top Bottom