Mkutano unafanyika Kimandolu, Msafara unatokea KIA unataka hapo Mjini Kati pajaaje sasa??
Hiyo sehemu uliyopiga picha ni kama mtaa wa Kongo pale Kariakoo, vipi mbona watu hawapo hapo leo??
Hawa Mods nao wanalala sana sikuhizi.. Huu ujinga sijui wanauachaje hapa.
Wapi nimeandika ya lowasa wewe umepagawa??Mbona unawashwawashwa tatizo nn? Ya Lowassa yanakuhusu nn huna aibu kwann usimwandike Pombe wako?? Tutolee roho mbaya yako lusifa wewe!!!