Deshmo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 4,819
- 4,263
nipo hapa, picha kibao ila ku upload ndiyo inakuwa tabu,kuna hujuma si bure
Mkuu kama hutojali nirushie 0754458485
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo hapa, picha kibao ila ku upload ndiyo inakuwa tabu,kuna hujuma si bure
Jukwaa kuu lilivyopambwa. Hili ni gari maalumu
Wafanya biashara wa vifaa vya uenezi nao wameshajipanda
Bodaboda nao wanawasili
Diwani wa Kata ya Kimandolu Mh Ngowi ambaye ndiye mwenyeji wa eneo la Mkutano hapo Tindigani akibadilishana mawazo na mmoja wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa watokano na Chadema
Mwananchi aliyekuwa akitoa burudani ya kuigiza kama Lowassa
Wanausalama wa UKAWA wako makini, tayari kwa shughuli husika
Jukwaa Kuu linavyonekana nje ya uzio
Sehemu watakayotumia watumbuizaji
Askari wa Jeshi la Polisi wakirandaranda kuimarisha usalama
KWA MATUKIO ZAIDI TEMBELEA BLOGU HII TENA NA TENA! KARIBU
Tuma picha mkuu
Nampongeza sana jamaa na hakika anajitambua