Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,471
Wanajamvi niko kimandolu Mji umesimama huu uwingi wa watu wakimpokea lowasa sijawahi kuushuhudia katika nchi hii, watu walisema mbeya ndio kilikuwa na nyoka sidhani kama patafikia. Mpaka polisi wenyewe wanashangaa, Ntatuma picha hivi Punde
Niko clock tower hali shwari, kila mtu anaebdelea na lake. Wala sija hisi kama fisadi yupo mjini?