Wanajamvi niko kimandolu Mji umesimama huu uwingi wa watu wakimpokea lowasa sijawahi kuushuhudia katika nchi hii, watu walisema mbeya ndio kilikuwa na nyoka sidhani kama patafikia. Mpaka polisi wenyewe wanashangaa, Ntatuma picha hivi Punde
Paka sasa nimehesabu wako watu wa 5 tu kwny mkutano
Dr Slaa aonekana.
Kifo cha ccm kimesharibia Arusha kumetapika ni zaidi ya mafuriko
Niko clock tower hali shwari, kila mtu anaebdelea na lake. Wala sija hisi kama fisadi yupo mjini?
Hata Mimi sijui wanaojua watujuzeee
Picha zinazowekwa mda huu kwangu hazifunguki , kulikoni au tatizo lipo kwangu?
Naona tatizo liko kwako mbona zinafunguka vizuri tu!