Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Kikwete: hellow buda!

Lowassa: shiiii nambie chali!

Kikwete: Naskia huko watu umewajaza nyomi!

Lowassa: Kawaida mbana!

Kikwete: Nakuaminia buda ikulu yako nimekubali!

Lowassa: Kwani we unatakaje?

Kikwete: Hali mbaya huku washkaji zangu wanazidi kuhama!!

Lowassa: Umewasiliana na Magufuli leo?

Kikwete: Sijawasiliana nae kwani kuna nini? sema fasta nimebanwa na mkoja shiiiiiiii!!

Lowassa: Umepata taarifa kuwa Nape ana kadi ya CHADEMA?

Kikwete: shiiii (amekata sim)

Lowassa: hahaha! kakata sim ndiyo dawa yako
 
Chadema wamegeuka kama wendawazimu wameamua kuwakumbatia Mafisadi. EL atakuwa rais wa Chadema na sio Tanzania. Chadema wamegeuka jiwe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Chadema wamegeuka kama wendawazimu wameamua kuwakumbatia Mafisadi. EL atakuwa rais wa Chadema na sio Tanzania. Chadema wamegeuka jiwe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
and who are you?
 
Asante kaka Warren! Kwa mipicha, duuuh! Safari hii lazima tembo akae...
 
Jamani muoneeni magufuli huruma japo kidogo, watu pamoja na mpinzani kukimbilia kwenye kona yake bado munamfuata na kuzidi kumsukumia za chembe.......

Tutahakikisha anarudi kwenye ufundi kujenga,huu muziki hauwezi CD Mia nane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…