Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
makapi..kama yuko in love na cdm kwa nini ajiunge baada ya kushindwa kura ya maoni. gamba oppurtunist. magamba yanakoboka ccm na kutua cdm...amenaliekuwa Waziri Wa mambo ya ndani,mbunge Wa nyamagana Na mjumbe Wa NEC ajiunga rasmi UKAWA,kweli ccm kwisha habari yake
Tunampenda hivyohivyo na wizi wake. Haya mtuache basi jamani eeehhhhI am Wacha1, you don't know? Ati CCM imechokwa kwani jina ndio tatizo. Huyu Mwizi wa mchana kweupe katoka CCM miaka yote amekuwa mwizi mkubwa kwenye mashirika ya umma na sasa ndio aliweza kujiingiza kwenye shirika la simu na kudhoofisha TTCL leo ndio mnamuona kama mfalme wenu pathetic, what type of people are you. You act like docile donkey.
Wacha 1
Umechelewa kupewa posho ya utetezi wa marehemu ccm tulia tu subiri matanga pole.
jamani nakaya yeye hajarudi chadema?
Tunampenda hivyohivyo na wizi wake. Haya mtuache basi jamani eeehhhh
Vyama vyote CHADEMA na CCM vitaumia...atakayesalimika ni atakayejua na kuweza kumanage mabadiliko haya. CCM haitakuwa salama kama unavyojidanganya na hasa wakiachwa akina Nappe kuendelea kuropoka wanavyofanya.CCM safi. Mpaka october wachafu watakuwa wemeondoka wote kwenda Chadema. Mungu saidia waende chama kiwe safi na tupate mabadiliko ya kweli.
Mafuriko dawa Yake mfereji tu.