Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
Kikwete: hellow buda!
Lowassa: shiiii nambie chali!
Kikwete: Naskia huko watu umewajaza nyomi!
Lowassa: Kawaida mbana!
Kikwete: Nakuaminia buda ikulu yako nimekubali!
Lowassa: Kwani we unatakaje?
Kikwete: Hali mbaya huku washkaji zangu wanazidi kuhama!!
Lowassa: Umewasiliana na Magufuli leo?
Kikwete: Sijawasiliana nae kwani kuna nini? sema fasta nimebanwa na mkoja shiiiiiiii!!
Lowassa: Umepata taarifa kuwa Nape ana kadi ya CHADEMA?
Kikwete: shiiii (amekata sim)
Lowassa: hahaha! kakata sim ndiyo dawa yako
Lowassa: shiiii nambie chali!
Kikwete: Naskia huko watu umewajaza nyomi!
Lowassa: Kawaida mbana!
Kikwete: Nakuaminia buda ikulu yako nimekubali!
Lowassa: Kwani we unatakaje?
Kikwete: Hali mbaya huku washkaji zangu wanazidi kuhama!!
Lowassa: Umewasiliana na Magufuli leo?
Kikwete: Sijawasiliana nae kwani kuna nini? sema fasta nimebanwa na mkoja shiiiiiiii!!
Lowassa: Umepata taarifa kuwa Nape ana kadi ya CHADEMA?
Kikwete: shiiii (amekata sim)
Lowassa: hahaha! kakata sim ndiyo dawa yako