SIMIYUVOICE
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 313
- 71
Jeshi la Polisi laibip ukawa_raia mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Mkuu, tutapambana mpaka tone la mwisho la damu. Lazima LOWASSA aingie Ikulu!!!!
CCM ni chama cha kishenzi kupitiliza!
Mpaka sasa Wanaendelea kuvunja kanuni za uchaguzi lakini Li-tume lao liko kimya tu!
Uwaziri wa ujenzi wa Magufuli ulipaswa kukoma pale tu alipoamua kugombea Urais, lakini Mpaka leo kichwa box Kikwete
anazunguka naye na kumsifu, huku na kule, Nawachukia hawa taka taka kuliko ninavyomchukia shetani!!
mafuriko ya kumshangaa fisadi lowasa yanaelekea baharini. Dr magufuli ndo mteule wa watanzania kwenda ikulu
Kwa akilibyako nusu kijiko ni magari mangapi yanaweza kusomba hizo nyomi,hayo mambasi yako wapi maana inahitajika mabasi sio chini ya 30000 kubeba hiyo nyomi maana ni watu zaidi ya milioni 1.5.Ataishia kukodisha magari kubeba watumwa wake kutoka mkoa mmoja kwenda kujaza mkoa mwingine kuonyesha anapendwa!
Ataishia kusikia ikulu tu! Mwezi wa kumi si mbali msikimbie kuweka uzi wenu humu mara tu rais mtarajiwa atakapotangazwa mshindi kuingia ikulu
najua hamtakosa sababu maana mtasema kaibiwa kura! Kama unapresha ya kupanda au kushuka siku hiyo mwandae daktari wako awe jirani na drip pembeni
Haki ya Mungu nimekupenda bure, tafadhali niko tayar kuwa mkeo hata WA pili Tu sijali
peleka mnduku hukooooo
Hizi ndio shida zenu watu wengi washabiki wa ukawa!
Hatuitoi ccm kwa kuwa tunaichukia, tunaikataa kwa kuwa haiwezi kutufikisha ktk hatua za maendeleo tunqzozitaka sisi! Africa nyakati kama hizi huwa kunatokea vurugu sana sababu watu wanatumia siasa kama ruhusa ya kufanyia dhambi zao, hasa kukamilisha chuki zao kwa watu wa Jamii nyingine, iwe Jamii tunayotofautiana nazo kiuchumi, kiitikadi za Sera za siasa, au dini au kabila etc!
Kama kura yako kwa ukawa ni kwasababu tu yq chuki dhidi ya ccm, nadhani kura yako haina maana ktk Jamii, ingawa unaweza kuleta ushindi kwa ukawa!
Wew unazn maneno ndo utekelezaji kiongzi lzm awe anaongea point sio kubwabwaja tyu il kuw na sifa