Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Nashangaa sasa hivi ndio naipata jf ilikuwa haifunguki kabisa uwanjani Tindigani nikadhani ni mimi pekee yangu. Kweli network ilikuwa shida.
 
Akitumia dakika tano kuzungumza na wanaukawa huko jijini Arusha lowassa amesema ataliongelea suala la kilichokuwa kiwanda bora Afrika Mashariki ambacho sasa kimeachwa kama gofu.


Lema amekuwa akimtuhumu mara kwa mara kwamba El ndio aliyekifilisi kiwanda hicho na sasa ndiye mmiliki wake.

wadau wa Arusha wataendelea kusubiri majibu hasa ukizingatia kurudishwa kwa General tyre serikalini ilikuwa ni moja ya ajenda na ahadi ya lema akigombea ubunge mwaka 2010.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Duuu Lowasa kachukua na general tyre? Atuambie kwanini kachukua kiwanda chetu?
 
Pamoja na kumkubali Magufuli mpaka sasa nashindwa kuelewa hi CCM wanashindaje yaani hainiingii akilini hata kidogo.
 
Wakuu heshima kwenu,

Kwanza nianze kutoa pole kwa wanaofurahia mafuriko ambao umekuwa msemo wa ukawa.
Binafsi ukawa na mafuriko ni watu wanafiki wanaokumbatia ufisadi, kuwafanya wananchi watoto wadogo
walizunguka nchi nzima wakipinga ufisadi na baadae sasa hivi wanazunguka kuutakasa huo huo ufisadi na
watu ni wale wale hii ni aibu kubwa.
Nawapongeza Dr. Slaa, Prof. Lipuma na wengine wengi amambao hamjajitangaza lakini mtaonesha msimamo
wenu kuukataa unafiki huu uliofanywa na wababe wachache ndani ya UKAWA kwenye uchaguzi tar 25 oct.
Hakika hii ndiyo itakuwa GHARIKA kubwa ambayo itawakumba wengi nakuacha huzuni kubwa kwa waliokuwa
na matumaini ya kuingia ikulu ili wakaendeleze dili zao binafsi huku wengine wakiomba msaada na kubisha hodi
mlango wa CCM ili waingie tena na kukuta umefungwa kwa KUFULI kubwa na waliomo ndani watasema
hatukufunga sisi mwambieni RAIS J.P. MAGUFULI ndo mwenye uwezo wa kufungua.

MAFISADI, WALARUSHWA NA WAZEMBE JISAFISHENI GHARIKA YAJA ITAWAKUMBA WOTE OCT,25 2015

MAGUFULI NDIYE GARIKA AJAYE.

Kwa hiyo CCM imewanyang'anya CHADEMA ajenda ya ufisadi na kwamba hao waliotoka wameondoka na ufisadi na kuuhamishia huko walikokwenda?
 
Wakuu nafikiri kazi imekwisha kwa Arusha, haikuwa kazi nyepesi kwani changamoto za network zilitukwamisha sana leo, ila tunamshukuru mungu tumemaliza salama. Tukutane kesho pale Mwanza.
kamanda Mungu akubariki sana kwa wema uliotufanyia .
 
Hakika Mkuu, tutapambana mpaka tone la mwisho la damu. Lazima LOWASSA aingie Ikulu!!!!

CCM ni chama cha kishenzi kupitiliza!

Mpaka sasa Wanaendelea kuvunja kanuni za uchaguzi lakini Li-tume lao liko kimya tu!

Uwaziri wa ujenzi wa Magufuli ulipaswa kukoma pale tu alipoamua kugombea Urais, lakini Mpaka leo kichwa box Kikwete

anazunguka naye na kumsifu, huku na kule, Nawachukia hawa taka taka kuliko ninavyomchukia shetani!!

yeah bro, madam tumewakamata relax punguza mzuka wasikutie presha nashauri timu kali iende mtama kwa nape akose raha maana tuna pa kuanzia
 
Time will tell.....


MUGABE1.jpg


zimbabwe-elections_2630378b.jpg




images



20_zimbabwe-main-(Read-Only.jpg
 
mafuriko ya kumshangaa fisadi lowasa yanaelekea baharini. Dr magufuli ndo mteule wa watanzania kwenda ikulu
 
Then you are naive ikiwa unafikiri ufisadi unaondoka na hao walioondoka! Ufisadi huko emboded into the utteries of our system, you need to break it before it is treated. Hivi kweli unafikiri ufisadi mkubwa mkubwa uliolikumba hili taifa ulikuwa wa mtu mmoja mmoja...ingekuwa hivyo ungeshaisha zamani sana.

Hata Chadema hakuna system hiyo ya kuzuia ufisadi. Kuna kujitoa akili lakini unajua vizuri boys two men walivyoharibu mfumo huo tangu wanapatana na tangu wakosane. Issue nayo iona ni wachache kuamua kuwa wasemaji wa watanzania wote. Bado tuko wengi tusiofurahia huo ukawa feki. Ila kwenye jf and whatsup utasikia watanzania wanataka ukawa as if kuna mtu kawa hoji watanzania wote. Watu 23m waliojiandikisha ni wengi mno kuliko umati wa watu hawafiki hata laki unaowaona kwenye mikisanyiko hii.
 
Ahahahahahahahahaaaaaa "Pombe mwisho counter mtaani Lowasa" na kweli sijamsikia kabisa hiyo jamaa hata kwenye chama chake hawamtaji kabisa
 
Hata Chadema hakuna system hiyo ya kuzuia ufisadi. Kuna kujitoa akili lakini unajua vizuri boys two men walivyoharibu mfumo huo tangu wanapatana na tangu wakosane. Issue nayo iona ni wachache kuamua kuwa wasemaji wa watanzania wote. Bado tuko wengi tusiofurahia huo ukawa feki. Ila kwenye jf and whatsup utasikia watanzania wanataka ukawa as if kuna mtu kawa hoji watanzania wote. Watu 23m waliojiandikisha ni wengi mno kuliko umati wa watu hawafiki hata laki unaowaona kwenye mikisanyiko hii.
Nakubaliana nawe lakini la msingi ni kuwa siyo ufisadi wetu ni beyond an individual. It needs to be found systemically! Na ni vigumu (sisemi haiwezekani) kupugwana ndani ya chama dola.
 
Back
Top Bottom