Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

You have to watch.. That's what u supposed 2do.. We'll have UKAWA on top as we planned

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
😛eace: ha ha ha haka ka uzi kazuri sana ka magazeti ya kesho.
 
Jamhuri........Mwambieni Kikwete nchi hii sio mali ya Baba yake au Mama yake!

Tanzania daima.....hii sasa sifa
Nipashe........gharika tena
Mtanzania......lowassa
Uhuru......kikwete awaaga wizara ya ujenzi
Mzalendo.....watu milioni 23 wajiandikisha kupiga kura
Mwananchi.......Arusha yasimama

na wewe to utabiri wako magazeti ya kesho
 
I am Wacha1, you don't know? Ati CCM imechokwa kwani jina ndio tatizo. Huyu Mwizi wa mchana kweupe katoka CCM miaka yote amekuwa mwizi mkubwa kwenye mashirika ya umma na sasa ndio aliweza kujiingiza kwenye shirika la simu na kudhoofisha TTCL leo ndio mnamuona kama mfalme wenu pathetic, what type of people are you. You act like docile donkey.

You silly imbecile, how dare you call Tanzanians donkeys?? By the way what was your government doing all that long???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom