Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia ITV breaking news sasa hivi
Simba SC yaua tena.
-Kerr sasa aanza kupata kikosi cha maangamizi.
kalale jombaa,hilo povu unalomwaga hapa si bora ukampa shem nyt in romance
Tanzania daima.....hii sasa sifa
Nipashe........gharika tena
Mtanzania......lowassa
Uhuru......kikwete awaaga wizara ya ujenzi
Mzalendo.....watu milioni 23 wajiandikisha kupiga kura
Mwananchi.......Arusha yasimama
na wewe to utabiri wako magazeti ya kesho
Hata Nuhu aliwaambia hivihivi wakabisha ila mwisho wengi waliangamiaUtaogopaje kitu ambacho hakijatokea? Mafuriko yapo tuyaogope, gharika hatujui kama itakuwepo!
Ukiona mtu anatukana kama hivi ufanyavyo ujue kisha kata tamaa.Pole mkuu mwaka huu siyo mwaka wenu pumzikeni kwa amani.Za kwako zinaenda ant-clockwise
I am Wacha1, you don't know? Ati CCM imechokwa kwani jina ndio tatizo. Huyu Mwizi wa mchana kweupe katoka CCM miaka yote amekuwa mwizi mkubwa kwenye mashirika ya umma na sasa ndio aliweza kujiingiza kwenye shirika la simu na kudhoofisha TTCL leo ndio mnamuona kama mfalme wenu pathetic, what type of people are you. You act like docile donkey.
Acha mastory ya vitabu, talk of realities!Hata Nuhu aliwaambia hivihivi wakabisha ila mwisho wengi waliangamia
Wamekata umeme tangu alfajiri na ninahisi utarudi kesho jioni.
Kama kageuza chama cha kifamilia kwa nini kisife
I like this.........
Mbona mwaka 2005 ngoma ililia sana na haikupasuka?