manking
JF-Expert Member
- Feb 8, 2014
- 1,306
- 316
Pole naona unakosa usingizi, pole.
Mkuu wewe ndo unastahaili upewe pole maana garika ina athari kubwa kuliko mafuriko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole naona unakosa usingizi, pole.
Ccm imeshika dola si jambo rahisi kuachia dola hata kuuwa wata uwa.
Polepole sio mzima msamehee bure .nikazi alipewa na ccm kama aliyo pewa Magufuli .hawana namna itabidi wasindikize mafuriko mpaka yatakapo simama
Vyama vyote CHADEMA na CCM vitaumia...atakayesalimika ni atakayejua na kuweza kumanage mabadiliko haya. CCM haitakuwa salama kama unavyojidanganya na hasa wakiachwa akina Nappe kuendelea kuropoka wanavyofanya.
Pole sana wa kusini!ha ha ha!bora kutokuwa mshabiki wa mwanasiasa.watu wa kanda ya kaskazin kwa ujiko,hatar!mwaka huu lowasa akishndwa mtajinyonga..!
Utaogopaje kitu ambacho hakijatokea? Mafuriko yapo tuyaogope, gharika hatujui kama itakuwepo!Mkuu wewe ndo unastahaili upewe pole maana garika ina athari kubwa kuliko mafuriko.