Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Mwanzoni umetanguliza kuponda sa hilo swali jibu lake unalo wew ! Acha kupigia mistari majibu yako , people's power ! Ukawa ndo jibu letu
 
makapi..kama yuko in love na cdm kwa nini ajiunge baada ya kushindwa kura ya maoni. gamba oppurtunist. magamba yanakoboka ccm na kutua cdm...amen
Hii pia inaweza kuashiria kuwa kuna waliopita kura za maoni lakini ni wapenzi wa Lowassa; adui wa ndani ni hatari zaidi...just curious.
 
CMdB4TYWUAA8J2L.jpg
 
hizi hapa picha kaabla hajaja lowassa,ilikua sa 8 kisha sim yangu ikaisha chaji badae nyomi ilikua kuba kuliko kawaida, hapa nilikua katikakati napiga pcha
 

Attachments

  • f.jpg
    f.jpg
    368.5 KB · Views: 493
  • g.jpg
    g.jpg
    302.2 KB · Views: 475
  • j.jpg
    j.jpg
    228.8 KB · Views: 464
  • k.jpg
    k.jpg
    168.2 KB · Views: 454
  • l.jpg
    l.jpg
    337 KB · Views: 383
  • m.jpg
    m.jpg
    323.1 KB · Views: 346
  • n.jpg
    n.jpg
    261.9 KB · Views: 326
  • p.jpg
    p.jpg
    271.8 KB · Views: 324
  • q.jpg
    q.jpg
    396.1 KB · Views: 332
  • Sight_2015_08_15_144248_313.jpg
    Sight_2015_08_15_144248_313.jpg
    400 KB · Views: 379
  • WP_20150815_15_12_35_Pro.jpg
    WP_20150815_15_12_35_Pro.jpg
    282.4 KB · Views: 344
  • Sight_2015_08_15_145925_618.jpg
    Sight_2015_08_15_145925_618.jpg
    385 KB · Views: 330
  • Sight_2015_08_15_145819_055.jpg
    Sight_2015_08_15_145819_055.jpg
    234.5 KB · Views: 323
  • Sight_2015_08_15_145534_078.jpg
    Sight_2015_08_15_145534_078.jpg
    305.2 KB · Views: 273
  • Sight_2015_08_15_145444_221.jpg
    Sight_2015_08_15_145444_221.jpg
    338.2 KB · Views: 239
  • Sight_2015_08_15_145555_367.jpg
    Sight_2015_08_15_145555_367.jpg
    236.2 KB · Views: 242
  • Sight_2015_08_15_145615_503.jpg
    Sight_2015_08_15_145615_503.jpg
    290 KB · Views: 241
  • Sight_2015_08_15_145506_903.jpg
    Sight_2015_08_15_145506_903.jpg
    301.3 KB · Views: 238
  • Sight_2015_08_15_145426_808.jpg
    Sight_2015_08_15_145426_808.jpg
    247 KB · Views: 248
  • Sight_2015_08_15_144916_214.jpg
    Sight_2015_08_15_144916_214.jpg
    376.9 KB · Views: 255
Wakuu nafikiri kazi imekwisha kwa Arusha, haikuwa kazi nyepesi kwani changamoto za network zilitukwamisha sana leo, ila tunamshukuru mungu tumemaliza salama. Tukutane kesho pale Mwanza.

mkuu mabomu yamepigwa sehemu gani? mbona naona taarifa ya mabomu kupigwa lakini sioni yamepigwa wapi?
 
Watanzania unaowafahamu wewe, mimi naongelea Watanzania as a country. Kwenye nchi kuna system unafikiri nchi inaongozwa kama Romano anavyoongoza Chelsick? Mtajuta mwaka huu khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mkuu naona unajitahidi kupambania chama lako. hongera kwa kutekeleza wajibu wako
 
Mfanyakazi - lowasa kupandisha mishahara.
Motomoto - lowasa ni shiiida.
Sanifu - gharika la lowasa lamsomba lau masha
 
Back
Top Bottom