Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,771
Na wewe unakuwa na mihemko kama mchepuko wa magufuli hata sikuelewi which is which chenga tu.
Tulia dawa iingie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe unakuwa na mihemko kama mchepuko wa magufuli hata sikuelewi which is which chenga tu.
Game bado mbichi
Kama uchaguzi huru na wa haki utafanyika, then it is confirmed LOWASA ni rais! Tusisahau ya Kivaitu Kenya. He announced the results at a gun point! .... and Mwai Kibaki was a winnerRais ni Lowassa hakuna jinsi!
Ratiba ya kutafuta wadhamini ipo vipi,akitoka arusha anaelekea wapi na wapi?
endelea kujifariji mkuu matokeo ya uchaguzi yakishatangazwa ntakukumbusha wallah tena
Kwa nini wasiahirishe uchaguzi tukubariane na utabiri wa TB Joshua na kwamba mtu ka-win the majority kuepuka gharama za uchaguzi ili yule mzee aende Ikulu, maana atashinda by any means.
Uhuru-pinda ahimiza ufugaji wa nyuki.
Mfanyakazi - lowasa kupandisha mishahara.
Motomoto - lowasa ni shiiida.
Sanifu - gharika la lowasa lamsomba lau masha