Then you are naive ikiwa unafikiri ufisadi unaondoka na hao walioondoka! Ufisadi huko emboded into the utteries of our system, you need to break it before it is treated. Hivi kweli unafikiri ufisadi mkubwa mkubwa uliolikumba hili taifa ulikuwa wa mtu mmoja mmoja...ingekuwa hivyo ungeshaisha zamani sana.To me that is positive na ndio mabadiliko tunayotaka. Maana ni wazi kuwa ufisadi ndiyo uliofikisha taifa ili hapa. CCM walitakiwa wauepuke kama chama zamani sana. ILA chadema kuukumbatia sasa hivi ndiyo mbaya zaidi. That is why we say ccm is becoming better without them in comprison to Chadema with them.