Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Makamanda hodi. Lowasa atasimama wabaya wake wagune, wakejeli Mungu kisha teua. Hivi huyu anayetaka kutuona as wajinga kwa kumpenda Lowasa basis tutakuwa mazezeta tukilazimishwa kumpenda Magufuli. Watanzania ni hawa hawa waliopiga kura za kishhindo kwa Kikwete CCM kama hujapangwa na kocha sugua benchi mazoezi kwa sana mpaka ufike kiwango.Sawasawa?
 
Si mnajua kampeni manager wa komeo ni chemba!....Redbrigade fanyeni kazi yenu.....Arusha inachukiwa na magamba kama hamjui....
 
Kila la kheri UKAWA kila la kheri wana UKAWA na kila la kheri wana Arusha na watanzania wote wapendwa mabadiliko.
 
nko njian natokea moshi nakuja chuga il nisije nkakosa uhondo
 
Nmeona magari ya washawasha sasa cjui ni vita au Kuna kingne.....

Mkwara na kutikisa kiberiti mkilegea imekula kwenu.

Sisi huku mbeya tulijazana barabara zote wakashindwa waanzie wapi.

Mjin palijaa

Songwe mbalizi iwambi mpa mjin

Uyole mpaka mjini

Kawetele mpaka mjin

ikawashinda wakanywea Tukapiga bao.
 
Usalama muhimu. Red brigades na blue army chukueni tahadhari zote. Arusha,Arusha,Arusha.. Nikikumbuka ugaidi ulotabiriwa na Mwigulu kipindi kile cha uchaguzi mdogo wa madiwani,naishiwa nguvu.
 
Boss unaonaje ukaweka namba ya WhatsApp kwenye post yako namba 1 ili watu wakawa wanakutumia picha unazipandisha hapo... Naamini mtu mmoja hutaweza kupata picha zote mwenyewe...


Ngoja nitaweka soon!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…