UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Sawa sawa..coz haina maana kukesha barabarani mwisho wa siku hawapigi wala hawalindi kura zao..ni wastage of time and money..ngoja tusubili hiyo October,2015 mkuu
Mkuu mbona ni utamaduni watu Wa A town kukesha kulinda kura ,umesahau wakati nasari anachukua ubunge Wa arumeru mashariki ,watu walikesha mpaka kikaeleweka