Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Hahahaha mkuu hao washajiunga kimyakimya Jana nilikuanaosehem nikawa naonyesha picha za mbea haowazee wa cape wakajikusanya wakawa wana zicheck huku wanacheka chekatu kiaina sababu walikuwa kwenye sutizao za kazi.

kumbe na wao wanaikubali kiaina.....
 
Naona zaidi ya gari Mia za polisi zinatumwa kimandolu, aibu, mtu mmoja Tu gari Mia za polisi, hamjiamini nyie kijani, kwishney
 
Mbona teamlaptop imekanushwa, Mh. Hakujipanga vizuri? Madereva wanajua gari huwezi kuliondoa na gear no. 5, huyu haitaji Coke ya baridi

Huyu ni puuumba kabisa bwana....

Ataweza kweli kuoongoza mafisad wa ccm ?
 
Naona zaidi ya gari Mia za polisi zinatumwa kimandolu, aibu, mtu mmoja Tu gari Mia za polisi, hamjiamini nyie kijani, kwishney
Hawa polisi ngoja waanze kupiga watu huko ni kutisha watu kwanini wanatumia nguvu kiasi hicho
 
Hapa ndiyo anashuka KIA sasa hivi.
 

Attachments

  • 1439623634855.jpg
    1439623634855.jpg
    51.3 KB · Views: 3,770
  • 1439623674895.jpg
    1439623674895.jpg
    51 KB · Views: 857
  • 1439623753452.jpg
    1439623753452.jpg
    51.1 KB · Views: 856
Hakikishen tourch zenu ziko full charged. Kila sehem popote pale.

polisi wakianza ujinga jitahidin kurekodi matukio. Tukiingia madarakan akina Kamuhanda na wenzake woote lazima washughulikiwe ipasavyo kwa udhalim waliotenda.

Kamera ziwepo za kutosha popote

Watu wanafanya mikusanyiko kwa amani halafu wajingajinga wengine wanataka kuuwa watu bila hatia.. Akina chagonja na wenzake.. Aibu sana.
 
Tunashukuru kwa taarifa mkuu...uwanja wa Kimandolu tindigani unaweza kukidhi haja.

Tunamshuru Mungu kwamba tutakomesha utawala wa ccm October la sivyo hapo kwenye huo uwanja baada ya huu mkutano wangekuja kujenga hata ghala ili mradi kuzuia upinzani wasipate uwanja wa kufanyia mikutano yao..kwa Arusha limekuwa jambo la kawaida!
 
Lowassa rais 2015
 

Attachments

  • 1439623827466.jpg
    1439623827466.jpg
    10.1 KB · Views: 3,903
Magufuli ageuka kama mgombea wa CHAUMA jmn hasemwi popote muoneeni huruma basi jmn mtamua kwa pressure

ana nyota ya jembe na nyundo! mwenzie ana nyota ya chips yai.
Nilishangaa mtoto wa dadangu yupo std 2 ananiambia " mamdogo i want chadema to win i love it for sure..." i was surprised yaani! kifupi EL ana nguvu ya umma!
 
Back
Top Bottom