Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

huko ARUSHA au MOSHI hakuna radio inayo tangaza live tuitafute kwenye mtandao??
 
ana nyota ya jembe na nyundo! mwenzie ana nyota ya chips yai.
Nilishangaa mtoto wa dadangu yupo std 2 ananiambia " mamdogo i want chadema to win i love it for sure..." i was surprised yaani! kifupi EL ana nguvu ya umma!

Duuuh yani mpaka watoto wanaichukia CCM... Aibu kwa Kikwete hii..
 
Habari Wanajamvi,

Leo ndio ile siku inayosubiriwa kwa hamu hapa Mkoani Arusha, pale ambapo mgombea wa Urais kwa tiketi ya Ukawa Ndugu Edward Lowassa atakapotambulishwa rasmi mkoani hapa.

Hakika maandalizi yamekamilika kwa asilimia 100%, Mkutano huu pia utashuhudia maelfu ya wanachama wa ccm mkoani hapa wakirudisha kadi zao na kuhamia rasmi Chadema.

Makamanda karibuni ili tupeane updates na kujulishana kile kinachoendelea.

Mkutano Unafanyika viwanja vya Tindigani, Kimandolu.
cc: Timu mahiri ya wanahabari ya Chadema Chademakwanza Molemo Tumaini Makene

Updates:
Baadhi ya wanachama wamepiga kambi karibia na KIA ili kupata fursa ya kujumuika vizuri hapo baadae.

Wananchi mamia kwa maelfu wanazidi kushuka toka mjini kwenda KIA hakika hapatoshi, picha zitakuja punde tuu.

Kwanini hii mikutano haionyeshwi LIVE kwenye TV CHANNELS??? tatizo ni nini? CC. Tumaini Makene.
 
picha wadau

wakati anawasil.i uwanja wa ndege KIA

attachment.php
attachment.php
 
Hakikishen tourch zenu ziko full charged. Kila sehem popote pale.

polisi wakianza ujinga jitahidin kurekodi matukio. Tukiingia madarakan akina Kamuhanda na wenzake woote lazima washughulikiwe ipasavyo kwa udhalim waliotenda.

Kamera ziwepo za kutosha popote

Watu wanafanya mikusanyiko kwa amani halafu wajingajinga wengine wanataka kuuwa watu bila hatia.. Akina chagonja na wenzake.. Aibu sana.

kazi ipoo
 

Attachments

  • 1439625068462.jpg
    1439625068462.jpg
    17.2 KB · Views: 1,007
Leo kadi zote za Ccm mkoa wa arusha zinatiwa kiberiti!!
 
Back
Top Bottom