Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

pipoz pawaaa...:biggrin1:sisiem bai bai..:A S 103:mlianzisha tunamaliza teh....sipati picha siku mapadlock akitua chuga..naona kutakua na tsunami na magamba tu wanapata maslahi..wananchi wanaojielewa hawaez sapotiii haya majiziiiii
 
Askari wanazomewa sana barabarani, nimefika central police askari waliobaki hawafiki kumi wengine wanejazwa kwenye magar wako standby na silaha zakutosha
 
Jamani ee, wananchi wamemkubali lowassa kwa jinsi alivyo, na mapungufu yake yote, na uimara wake wote.. Hapa Arusha leo watu wote tunaongea lugha moja!!!! #LOWASSA ni Rais Wa aWamu ya tano. Mimi nilikuwa mwanaccm niliyekubuhu lakini nilikiunga cdm hata kabla ya lowassa, wakati ule wa mchakato wa katiba... CCM haiuziki na asilimia kubwa sana ya wabunge na madiwani walioshinda kwa kupitia ccm wana kiu Lowassa awe RAIS!
 
Nyie watu wa Arusha Mmefeli sana. Mmepitwa mbali sana na watu wa Mbeya

Wa-Arusha wapo slow sana...mtu alieanzisha thread hii hajaweka hata picha moja, wanaweka wengine katikati ya thread, watu wengi hawawezi kuziona...sasa yeye alikuwa na kiherere gani cha kuanzisha uzi wakati hawezi kuleta update ya maana.....
 
Jamani ee, wananchi wamemkubali lowassa kwa jinsi alivyo, na mapungufu yake yote, na uimara wake wote.. Hapa Arusha leo watu wote tunaongea lugha moja!!!! #LOWASSA ni Rais Wa aWamu ya tano. Mimi nilikuwa mwanaccm niliyekubuhu lakini nilikiunga cdm hata kabla ya lowassa, wakati ule wa mchakato wa katiba... CCM haiuziki na asilimia kubwa sana ya wabunge na madiwani walioshinda kwa kupitia ccm wana kiu Lowassa awe RAIS!
 
Tafadhali wahusika picha ziwekwe juu, hii oil chafu kiboko ya mchwa message sent.
 
Nimeipenda hii, oil chafu kiboko ya mchwa. CC.. Nape Nnauye
 
watu wanahisi watazuiwa na polisi, hivyo wameamua kuwahi mapema.
Picha zinaeleweka kuliko maneno yako...chukua hizo zinazokuja ziweke mwanzoni mwa uzi wako....

Omba usaidiwe kuzipangilia kama huwezi...sio vizuri kuanzisha thread halafu hamna update yoyote ya maana unayotoa....
 
Back
Top Bottom