Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Watu inaelekea ni wachache sana ndiyo sababu hata picha hazitumwi. Si kama Mbeya jana picha mapemaaaa
thubutu wewe badili title ccm kukataliwa Arusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu inaelekea ni wachache sana ndiyo sababu hata picha hazitumwi. Si kama Mbeya jana picha mapemaaaa
Pinga kwa hoja au picha mzee.Naona umekatwa huko jimboni kwenu ndio maana umekimbilia mjini
Na wewe umekatwa vilevile jimboni?
ee bwana watu wamefurika pande hz za a town ful shangwe watu wamejpanga vilivo kumlaki mh.lowassa nyomi sijui hii oxygen ya a-town itatosha
huko si ndio makaomakuu ya saccoss?.
Katumwa huyo c bure!
Mkuu uko maeneo ya wapi hapo uturushia picha?
Unatamani kuona mambo yanakwama lakini utaratibu unaendeleaje kwa Utulivu, watu wameshakusoma na kukupuuza!Endelea kuhangaika mwishowe utataga na uatamie.