Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

ee bwana watu wamefurika pande hz za a town ful shangwe watu wamejpanga vilivo kumlaki mh.lowassa nyomi sijui hii oxygen ya a-town itatosha
 
Nipo hapa uwanjani watu ni wengi sna ila uwanja ni mbovu ajabu ndo mana picha zinaonekana baadhi ya sehemu hakuna watu kutokana na matope uwanjani.bora uwanja wa nmc.
 
Nipo hapa uwanjani kimandulu kwenye mkutano wa ukawa yaan ni mafuriko anayesema watu ni wachache ni mwongo hajifka hapa uwanjani yaani ni people's tuuu! Hapa
 
Mwanza itakuwa ni Furahisha au Nyamuhongolo?? Kama nu Furahisha hatutatosha aisee
 

Attachments

  • 1439637334387.jpg
    1439637334387.jpg
    39.1 KB · Views: 2,091
Unatamani kuona mambo yanakwama lakini utaratibu unaendeleaje kwa Utulivu, watu wameshakusoma na kukupuuza!Endelea kuhangaika mwishowe utataga na uatamie.

Zile porojo za Arusha hapatoshi tusizike tena.Propaganda zina mwisho.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Back
Top Bottom