Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Pole classmate wangu Mtela aka Ganzi enzi za mbeya secondary. Hiyo ndo zawadi ya usaliti. Vp Mwigulu hajakupiga tafu? Au ndo alikukopa hiyo ml 6 then ukiingia mjengoni utamlipa... kwi kwi kwiiiii
 
Mkuu hata yeye anaweza kutumia njia mbadala.Unajuaeje mpaka hapo kama hajatumia?

Aaaaaaaaaa, angetumia wangemuonea huruma kura zifike hata 10 jamani, milioni sita aweke na mtandao juu, si kazi ndogo ujue.
 
Tamaa nayo ilivyombaya badala ya million 2 kumpa mwingine ili afikishe kura 4. Kala yeye kalipa milion 2 kwa watu wa2=4 jumlisha yeye wakawa 3. Sheeeda
 
Safi sana hiyo ndio dawa ya wasaliti akaendelee kumpigia kampeni mwigulu maana akuna na kwa kuwa mtoto Wa kiume akuna plan b ya ubunge mwenzie angepewa viti malum
 
hizo kura Ni za baba take, Shangazi take, bibi yake..RIH Mwampamba.
 

Kwanza kuandika hujui na inaonyesha elimu yako ni ya mashaka mashaka.
Barabara gani ya mtaa ambayo Msigwa kaweka lami? Unajua kile kipande cha lami cha urefu wa 900m toka mwanyingo mpaka kwa shayo alichojenga mkandarasi Gamba pesa imetoka wapi? Hata msigwa mwenyewe alikuwa hajui nini kinaendelea.
Kipande toka kihesa sokoni mpaka semtema kilijengwa enzi za mama Mbega ingawa hakujenga yeye pia.
Pale kwenye junction ya bwawani kwenda mkimbizi palikuwa pabovu sana kabla ya wachina wa iringa-dodoma highway construction project hawajajenga daraja, wananchi wa maeneo yale walimuomba Msigwa awajengee daraja ikizingatia na yeye msigwa anaishi maeneo hayohayo,Msigwa akawajibu wananchi kwamba sio kazi yake.

Msigwa hapa iringa hajafanya lolote hata la kipuuzi hajafanya achilia mbali la maana.
Mwenye ushahidi hata wa maneno tu alete.
 
Mwampamba alijilinganisha na Juliana, wakati july anamiliki kitu kitamu ndo kinachompa jeuri, hamna jinsi aende zake mbarali akalime mpunga.
 
CCM ni chama cha mafisadi, lakini kwa bahati mbaya huwa hawakumbatii wasaliti na makapi yanayohama chama! Pole sana Mwampamba...

Nimefurahi sana maana hakuna namna nyingine zaidi ya kumuombea njaa adui yako!
 
wenye matokeo ya ubunge singida mjini na manyoni mashariki
 

Pumbaff thaana,eti hotuba bora.!!!!
Huyo ndo mtanzania katika ubora wake
 
Mpanda mabaya huvuna mabaya na mpanda mema huvuna mema awe RAIA wa kawaida kama watu wengine.
 
Ismail Rage
Shekiffu
Asumpta Mshama
Wabunge hawa waliona wajibu wao bungeni sio kuwawakilisha watu bali kuitetea CCM kwa nguvu zote hata pale inapokosea na kuwakandamiza walio wachagua. Lakini wenye chama wameona hiyo sio kazi waliyowatuma na wamewanyima kura kuwakataa.
Jee wengine wamejifunza kuwa kutetea chama bungeni sio wajibu wa mbunge?
 
Mwampamba nadhani alikua anagombea jimbo la Vwawa na sio Mbozi. Hayo ni majimbo mawili tofauti sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…