Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Hahahaaa nimeona taarifa start TV kuna mgombea kapata kura 44,000 haya ni maajabu mengine
 
6m zenyewe kakopa, anapoishi asaiv anadaiwa kodi ya chumba,
 
Ya kweli aya?
nilikuwa namcheka mgombea udiwani huku kawapa wajumbe 60000 kapata kura 4.
CCM ina wenyewe kama alivyosema mtoa mada.
 

Kwa hesabu hiyo lazima kama ni biashara utafilisika tu
 

Miye sijaja humu ndani kubishana na wewe ambae unahis unaa akili kubwa kuliko MTU yeyote na suala LA kujua kuandika miye sijasoma we mwenzangu ndio umesoma hongera sana .kwann yote hay a yamefanyika kipindi hiki cha msigwa hata Kama hakafanya kazi maana yake ni ufuatiliaji na ndio kaz yake ya msing unataka msigwa ajenge barabara kwan hyo kaz ya mbunge aliyekwambia nani kaka jipange wewe na chama chako mwaka huu mna kaz kubwa.Unafikiri ule umati Wa mwembetogwa mkubwa huwa unabebwa na maabas pamoja na malori ya yule mwarabu wenu pole sana,ndio maana siku zile watu walichngia mpaka ikafika million tano kuonyesha mapenzi Kwa mbunge wetu am aye bungeni anachangia hoja nzuri za kitaifa kwanini mama yenu mbega kipind kile alisema amejenga Barbara ya Ipogolo mjini blaza pole SNA USIpaniki. Kaka huyu mkuu Wa wilaya mwambie arud kule kule maana asije akakosa kazi bure.tuukutane October 25 maana vile vitanda vizuri ambavyo hata mara moja chama chenu hakijawahi kutoa hosptalini mlisema vya ovyo ila baba yenu waziri mkuu alivyokuja akasema vitanda safi sana na kingine MBNA huzumgumzi swla la maji nduli kaka ambayo mbunge wako lukuvi alishindwa kufikisha miaka yote pole Sana Jipangeni vizuri maana wakati wenu ulishapita yaana mwakalebela saw a tu SAULI.
 

Ngwilizi chaliiii, daadeki,
 
wenye matokeo ya ubunge singida mjini na manyoni mashariki

Manyoni mashariki Daniel Mtuka ameshinda ila matokeo hayajatangazwa Mbunge aliyepita Chiligati kwa kushirikiana na Dr. Chaya wamehonga milioni 30 kwa viongozi wa wilaya ili wachakachue matokeo leo ndo yanaweza kutangazwa rasmi
 
Manyoni mashariki Daniel Mtuka ameshinda ila matokeo hayajatangazwa Mbunge aliyepita Chiligati kwa kushirikiana na Dr. Chaya wamehonga milioni 30 kwa viongozi wa wilaya ili wachakachue matokeo leo ndo yanaweza kutangazwa rasmi

Dr chaya 2010 walimpiga chini na mwaka huu karudi tena chali paka anafikia kuhonga. Arudi tu kufundisha mipango wamuhitaji aachane na siasa
 
Kila la kheri kwake katika maisha yake ya kisiasa baada ya kushindwa.
Ajaribu kuangalia alipokosea ili miaka 5 ijayo arekebishe, hakuna namna
 
Hivi hawa jamaaa wanaojifanya wanaipenda sana CCM wanaingia kwenye kinyang'anyiro cha kura za maoni halafu washindwa kutoa rushwa ya kutosha kama mfumo wa CCM unavyotaka, baadae wanashindwa vibaya halafu eti wanajifanya wamechukizwa na ccm, wakati wanajua ndiyo tabia yako siku zoote, miaka yoote, halafu eti wanakuja UKAWA. Mf Dr. Makongoro Mahanga!Hivi huyu atatusaidia nin UKAWA?
 

fisadi papa...by Dr slaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…