Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Atapata kaz kufanya kampeni, haf wamasai waongozwe n mwanamke? Tena lowasa yuko ukawa, hilo sahau
 
Mtera Mwampamba ni kama sisimizi,Usitukane mamba kabla hujavuka mto,Ona sasa unavyokua condom!hiyo ndio CCM!
 
Hilo Jimbo Kwa Mahesabu Ya Namba Limeshachuliwa Na Ukawa, Nomber Is Not Lie
 
Unaposema membe unazungumzia serkal ya jakaya, fact no change ila ni walewale asira ya watanzania. Pevuka kijana acha kutetea upuuz ata kama baba yako mwekit wa serikal ya mtaa "naiman na ukawa na ndio tumain langu"

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Atapata kaz kufanya kampeni, haf wamasai waongozwe n mwanamke? Tena lowasa yuko ukawa, hilo sahau

Acha unyanyasaji wa kijinsia wewe kwani mwanamke hawezi? Lolote unalosema na kudhani juu ya mwanamke,jua inamrudia mama yako,dada yako na shangazi yako.
 

Wabunge wengi wa CCM hawajui na hawakusoma.uraia/CIVICS.Kiukweli CIVICS FORM II INAELEZA KAZI ZA MBUNGE NA BUNGE
 



Umemssahau kiranja Mkuu wa Membe, Ridhiwani Jakaya
 

Mkuu, huyo Maganga anakuja kama mwanachama tuu. Msaada wake kwa Ukawa ni kura yake, mkewe, wanawe na marafiki zake wote. Kura hizo tunazihitaji sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…