CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Noted with regret!Hakha Huyu si Rugemalila wa ESCROW jamani!!
Huyu ni kijana mpya kabisa katika siasa na naona amejitahidi kwakweli. Anaishi hapa Uswazi maeneno ya Kijiweni S jina tu ndo linamponza. Kule kwao wanasema Jina Baya linamuua mwenyelo. Itabidi ajiite Emmanuel
Tetty hili ni funzo gani kwa wana UKAWA + Dr Slaa wanaopinga Lowassa kupokelewa na kupewa nafasi ya kugombea urais? Funzo kubwa tunalopata ni kuwa WANANCHI WA TANZANIA hawaangalii UADILIFU wakati wa kuchagua. Wana vipimo vyao hivyo UKAWA ikitaka kushinda uadilifu kisiwe kipimo cha kumchagua mgombea wake!
Ni kweli kabisa, maana hata hapo CHADEMA imethibitika zimetolewa 10b ili kununua ugombea. Rushwa ni kansa ya taifa.
Hakha Huyu si Rugemalila wa ESCROW jamani!!
Huyu ni kijana mpya kabisa katika siasa na naona amejitahidi kwakweli. Anaishi hapa Uswazi maeneno ya Kijiweni S jina tu ndo linamponza. Kule kwao wanasema Jina Baya linamuua mwenyelo. Itabidi ajiite Emmanuel
Very good naona sasa umempatia vizuri kabisaaaaa. Ila sasa ndo keshakosa. Huyu Kamara si Balozi mbona anarudi tena? UKAWAAAAA Piga hodi.Julius rugenalira siyo Wa escrow Hutu alikuwa raid Wa daruso 2003, ni kijana Fulani and strong alishirik ngomo Wa 2000 na iliyofuatia
Mabaki ya Lowassa chamani yameshinda. Ameshinda Chenge, Bashe, Lugola na Serukamba. Tutawaonesha
Mzee Tupatupa
Leo ni August 1,2015 Wanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) nchi nzima wanakusanyika katika maeneo ya matawi yao kuchagua mgombea mmoja atakayeshindana na wagombea wengine kutoka vyama tofauti na CCM.
Mchakato wa kampeini katika mkoa huu zimetawaliwa na vituko,udhalilishaji kwa baadhi wa wagombea hivyo hata upigaji kura za maoni utakuwa hivo hivyo,hii ndiyo sababu inatufanya tufuatilie live kura hizi.
Updates...
MORE UPDATES:
JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI, WILAYA YA MUSOMA-MKOA WA MARA
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Mhe Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo ameibuka mshindi katika kura za maoni ndani ya CCM kwa kukupata ushindi mkubwa sana katika kata zote 21 za Jimbo la Musoma vijijini ambapo matokeo kamili na kama ifuatavyo;
Jumla ya waliopiga kura: 38,342
Idadi ya Kura
- Prof. Sospeter Mwijarubu Muhongo- 30,431 (79.4%)
- DC Anthony Mtaka- 3,457 (9.0%)
- Everest Maganga- 2,556 (6.7%)
- Prof. E Mujungu -988
- Stephen Mafuru- 421
- Wilberforce Witss- 393
- Nelson Semba- 186
Hongereni sana wana musoma vijijini kwa kuamua kuanza kujenga uchumi imara na kuutokomeza umasikini bila shaka mtaanza kuyaona maendeleo ya dhati.
JIMBO LA KIBAKWE, WILAYA YA MPWAWA- MKOA WA DODOMA
Waziri wa Nishati na Madini Mhe George Simbachawene amekuwa kati ya Mawaziri wa Serikali ya awamu ya nne ya Mhe Prof. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kushinda kwa kishindo katika kinyang'anyiro cha kura za maoni ndani ya CCM ambapo ameshinda kwa kishindo katika jimbo lake na kuwaacha mbali wapinzani wake.
- Simbachawene - 18,151
- Mwanyinge- 6,901
- Myang'ali- 3562
- Sabas- 430
- Ngiliule- 214
- Bendera- 410
- Shahel- 279
Hongereni wana Kibakwe kwa uamuzi sahihi.
Asanteni.
Kwani ndio mwisho? Badomna nafasi 25th October 2015
Tumewekewa nguzo za umeme na Prof Muhongo mradi wa REA, Lakini Simbachawene mara baada ya kupewa wizara kagoma kuleta umeme kisa hakubaliki kijijini so anakomoa wananchi,
Mleta Uzi Mungu akusamehe kwa sababu hujui mateso tunayopitia kupitia huyu mtu uliemuita CHAGUO SAHIHI.
Tunamuomba Rais ajae amkumbuke Prof Muhongo ktk wizara yake ambayo Simbachawene hastahili kuiongoza