Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Lazma watukanane tu hakuna namna nyingine. Sehemu pekee yenye uhakika wa kuwekeza ni siasa maana unauhakika wa maisha ukiwa mbunge na baada ya kusitafu
 
Akiendelea kuongea hivo huku akiwa ndani ya ccm lazima watam-kolimba
 
Kwa vile umeshapita, tunaomba utudadavulie kuhusu umeme, ni mgao umeanza kimyakimya au kuna matengenezo yasiyoisha yanaendelea? umeme unakatika saa 12:00am unarudi saa 7:00pm usiku, tuufanyie nn na wakati huo tumelala? naomba utoe taarifa tafadhali..!!
 


Ndiyo anayaona haya sasa. Sialikuwa sehemu ya wapambe wa Katiba ya Chenge?
Ajiandae kisaikolojia maana hao wapinzani wa ndani bado wamo na kwa ujio wa Lowassa pande hii ya UKAWA usipime kitakacho tokea Kipenga cha Kampeni ikipigwa.
 
Naperuzi habari za kura za maoni CCM na kusoma kuwa Mbunge wa Tabora Mjini,Ismail Aden Rage ameangushwa kwenye jimbo hilo. Habari za Rage zimenikumbusha bastola yake aliyopanda nayo jukwaani kupiga kampeni.

Ilikuwa ni kule Igunga kwenye uchaguzi mdogo akimnadi Dr. Kafumu. Rage alipanda jukwaani na bastola yake kiunoni. Wapigakura wa Igunga wakaiona na kuiogopa na hata kumpigia kura Dr. Dalali Kafumu aliyemshinda Mwalimu Kashindye wa CHADEMA.

Je,wana wa Tabora Mjini wameiogopa bastola ya Rage na kuamua kujitenga naye?
 
Rage ni mbunge mjinga kuliko wote waliowahi kutokea kwenye bunge la Tanzania..Anashadadia mavitu asiyoyajua anajipanuapanua tu wakati wa kuchangia miswada hata kama haina maana..
 
Aje chadema tuimarishe vikosi. Milango bado iko wazi.
 
Baadhi ya wabunge na mawaziri maarufu Walioangushwa hawa hapa:

Peter Msola
Mathias Chikawe
Adam Malima
Pindi Chana
Dr. Titus Kamani
Lediana Mg'ong'o
Said Arfiy
Asumpta Mshama
Pereira Silima
Amos Makala
Terezya Huviza
Said Nkumba
Hasani Ngwilizi
Beatrice Shelukindo
Henry Shekifu
Hebert Mntangi
 
Rage ni mbunge mjinga kuliko wote waliowahi kutokea kwenye bunge la Tanzania..Anashadadia mavitu asiyoyajua anajipanuapanua tu wakati wa kuchangia miswada hata kama haina maana..
ukatili wake umeongezea kung'oka
 

Attachments

  • attachment-2.jpeg
    4.4 KB · Views: 641
  • attachment-5.jpeg
    12 KB · Views: 663
Mafuriko yanakuja taratibu. Kwanza linaanza tope unateleza unaanguka. Halafu...
 
inasemekana dharau , kiburi , nyodo na kulewa madaraka ndio vimemponza adam malima .
 
walipoambiwa waziri asiwe mbunge wakabisha. Haya ndio matokeo ya kuwatumikia mabwana wawili!
 
Wewe Simbachawene umeme vipi mbona kwa wiki unawaka siku 2 mweee twafwaaaaaa...... Ujue
 
Furaha yangu ingekuwa kubwa zaidi kama lusinde nae angetemwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…