huyu jamaa mwingo sana hakuna mgombe anaitwa sadrudin sachedina kakogembea iringa mjini ila mwakalebela kashinda kura za maoni iringa mjini
Una idadi ya kura?maana yule Mama alikuwa anahonga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu jamaa mwingo sana hakuna mgombe anaitwa sadrudin sachedina kakogembea iringa mjini ila mwakalebela kashinda kura za maoni iringa mjini
Makongoro mahanga kapigwa chini Segerea
Mikumi Vipi mkuu Hauna taarifaMakala wacha wamgalagaze hana nidhamu huyo kanji bai analijua Hilo jimbo bora arudie
Mkuu mikumi Hali ikoje hapo nasikia ni jino kwa jino
Jimbo la Tabora kaskazini..Kata Nne JOSEPH KIDAHA ameongoza kwa kura nyingi sana akifuatiwa na ALMAS ATHMAN MAIGE huku mtetezi wa jimbo ndungu SHAFFIN SUMA akipulia mashine hali ni tete..
Wewe ndiye mjinga kuliko maCCM yote ..hapo nilipokoleza ni physics ya wapi au ndo ktk wale wanaofikiri kwa Masaburi au ndo akili zile za kina Nepi.
Kama ni kweli mwamoto kashinda, ni kama namuona Msolla akienda SUA kuomba kufundisha kwa mkatabaIringa mjini mwakalebela
Njombe deo filikinjimbe
Kilolo mwamoto
Kalenga mgimwa
Duuu hatariiiii
Hujui hesabu hatua 10 mbele 15 nyuma halafu work done inakuaje 0????
Tatizo nyie kura za maoni mtafanyia stendi na vijiweni ndio mana kila wakati mnakuwa wrong
Mkuu huyu mtoto sijui nani kamuambia awe anashinda jukwaa la siasa, hua anaandika kule MMU "aibu naona mimi" tabia hizi ni za kike, na ndio maana umeona pumba zake.
Iringa mjini mwakalebela
Njombe deo filikinjimbe
Kilolo mwamoto
Kalenga mgimwa