Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Nimepokea simu kuwa Waziri mtarajiwa wa Nishati na Madini, ndg yetu mpendwa Prof. Sospter Mhongo kashinda Musoma Vijijini (Butiama) japo sija ambiwa idadi ya kura.
Safi hii, turudishieni jembe hili kwenye harakati za kuikomboa tanzania kimaendeleo
 
Wameshinda ila watashindwa na kuungana na waliowashinda za maoni.mtaona moto wa ukawa.
 
Habari Njema!
Hassan Elias Masala, DC Wa Kibondo Amefanikiwa Kumdondosha Mbunge Alikawa Anatetea Nafasi Yake Ya Ubunge. Si Mwingine Bali Ni Waziri Wa Mambo Ya Ndani Ndugu Mathias Chikawe.

Upepo Wa Kukataliwa Kwa Chikawe Ulianza Mara 2008, Alipoleta Sanda Za Kuzikia, Ktk Uchaguzi Wa C C M, Aliangushwa U N E C.

Mwaka 2014, Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa Kijiji Chake Cha Stesheni Kimetwaliwa Na Chadema. Kata Yake Ya Stesheni Imetwaliwa Na Upinzani Kwa 80%. Tutarajie Diwani Wa Ukawa.

Viongozi Wakongwe Waache Umungu Mtu.


Nchi Hii Ni Yakwetu Sote.

Majimbo Haya Ni Yetu Sote.

Kata Hizi Ni Zetu Sote.

Watanzania Wanataka Mabadiliko!

Hongera Masala! Nachingwea Mpya Itazaliwa.

Chikawe atapewa viti maalum
 
Aje chadema tumpe hata udiwani kumuenzi mzee malima
 
Ha ha ha ofisi za lumumba zitajaa maana wote watakaopigwa chini watahamishia ofisi zao lumumba badala ya majimboni.
 
Matokeo rasmi majimbo ya Kagera

Bukoba Mjini:

Mshindi ni Balozi Khamis Kagasheki,
Balozi Khamis Kagasheki 6971
Dr Anatory Aman 944.
George Rubayuka 113.
Josephat kaijage 71.
Mujuni kataraiya 53.
Philbert Katabazi (nyerere) 34.
clistiana Rwezaula 29.
Hereth Projestus 19.

BukobaVijijini
Mshindi ni
1:Bw.Jasson Rweikiza ,

Muleba Kaskazini
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]Mshindi ni
1: Charles Mwijage[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Muleba Kusini
Mshindi ni
1😛rofesa Anna Tibaijuka,

Jimbo la Nkenge
Mshindi ni
Diodorous Kamala,
DR DIODORUS KAMALA 8229,
FROLENT KYOMBO 5429,
ASUMPTA MSHAMA 5273,
JULIUS RUGEMALIRA 5201,
DR MAZIMA JOHACKIM 2329
DR NYAGWA 671
 
Matokeo vipi kwa majimbo ya handeni vijijini,same Mashaliki
& magharibi ...?
 
Matokeo rasmi majimbo ya Kagera

Bukoba Mjini:

Mshindi ni Balozi Khamis Kagasheki,
Idadi ya kura


BukobaVijijini
Mshindi ni
1:Bw.Jasson Rweikiza ,

Muleba Kaskazini
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]Mshindi ni
1: Charles Mwijage [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Muleba Kusini
Mshindi ni
1😛rofesa Anna Tibaijuka,

Jimbo la Nkenge
Mshindi ni
Diodorous Kamala,
MATOKEO KURA ZA MAONI CCM UBUNGE JIMBO LA NKENGE.DR DIODORUS KAMALA 8229,FROLENT KYOMBO 5429,ASUMPTA MSHAMA 5273,JULIUS RUGEMALIRA 5201,DR MAZIMA JOHACKIM 2329 NA DR NYAGWA 671

Tibaijuka jimbo wamepewa UKAWA Tayari.
 
View attachment 272969
Bukoba mjini
1.Hamisi Kagasheki 6,971
2.Amani Anatory 944
3.George Rubaiyuka 113
4.Kaijage 71
5.Joseph Mujuni Kataraia 53
6.Katabazi 34
7.Rwezaula 7
8.Lukomoka 3
Bukoba Vijijini
Jason Rweikiza kawasambaratisha Nazir Karamagi
na Nelson Itagasa

Hili ndo jembe langu bwana!
Sijui kwa nini hakugombea urais
 
Kama mlihisi ccm watafukuza mafisadi hahaaa wamesoma nyakati uchaguzi wa 2010..wameapa kupitisha watakaopitishwa na wana ccm wenzao

So napenda kukupongeza. Hon mtarajiwa ingawa wameongea mengi ju ya escrow mara.ushindi wako n fadhila za mzee kukuhaidi ubunge. Na yale mambo yetu ya zittoscrow

Anyway hata kwenye khanga yapo mpwa napenda ufike huko ndani wakiuliza maana ya escrow wajibiwe vizuri..namini zito nae atakuwepo humo..ingawa kwa chama kingine..
 
Hahaaahaaa ccm ndio imetoka mpwa hiyo. ..nasikia wamekubaliana washindj waende kama ilivyo kuogopa dhahama ya katahuyu toa huyu ya 2010..kazi ipo..kazikwetu ukawa chambo hilo
 
Back
Top Bottom