Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Lowasa ana hela lakini watu hana.Nilishangaa MBowe aliposema eti lowasa atawaleta wanaCCM mamilioni kuhamia CHADEMA.Lowasa ana watu CCM kawatoa wapi? Akina mbowe jiandaeni hao hao mlionao ndio atakaowatumia yeye kaja mweupe hana wafuasi huyo ana wapenzi tu wa muda kutegemea na hela alizowamwagia.Mtu mwenye watu CHADEMA ni SLAA SIO MBOWE na CUF ni SEIF sio Lipumba.

Lowasa mliyemchukua CHADEMA mmechukua mtu asiyekuwa na watu huyo alikuwa anategemea wana CCM wenye watu wampe na wamsaidie kampeni.Mbowe sababu hana watu hawezi mbeba Lowasa.Ni wajanja wawili wasio na watu wanaoviziana Mbowe akidhani Lowasa ana watu na Lowasa akivizia na kudhani mbowe ana watu.Wamekutana wajanja wa mjini wawili wasiokuwa na watu.CHADEMA itagaragazwa safari hii uchaguzi mkuu hadi basi.Matokeo ya safari yatakuwa ya aibu kwa CHADEMA mark my words.

baada ya Lowasa kutoka maofisini na kuingia maviwanjani kila kitu kitasomeka .Lowasa ana wapiga kura , viongozi waccm watajibanza hukohuko ila ana wananchi wengi mno nimefnya utafiti vituo vya kujiandikishia hali mbaya nakiri ingawa mimi ccm
 
Nipashe Jumapili
 

Attachments

  • 1438504870753.jpg
    1438504870753.jpg
    85.6 KB · Views: 795
Katika hali isiyo ya kawaida wanaCCM jimbo la Lushoto wameamua kujaribu ujinga kwa kumchagua mgombe wa darasa la saba kuwakilisha katika uchaguzi mkuu 2015. katika chama hicho kilibahatika kupata magombea wenye Elimu ya juu sana na ya hali ya juu lakini wanaCCM wakaamua kuchukua maamuzi ya kumpitisha mgombea wa darasa la saba na kuwapotezea wasomi wote majanga. walipo ulizwa kwa nini wameamua kumpitisha mtu wa darasa la wengi wakadai eti aaaaah! bwana bora tumpitishe mjinga mwenzetu kwa sababu hao walisoma hawana msaada wowote.:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
Hili Jimbo Mohammed Mtoi wa CDM/Ukawa hana haja ya kupiga kampeni, asubiri kuapishwa tu.
 
Last edited by a moderator:
Wagombea wenzake ndani ya ccm wameendelea kupanic baada ya ushindi wa asilimia zaidi ya asilimia 90,JAIRO NA KILIMBA wameingia mitini mapema baada ya kuona hali ni tete..nipo jimboni nitaendlea kuwajuza.

mod naomba msiondoe huo uzi niliouweka kuhusu kuumbuka kwa mwigulu ni habari za uhakika kura za maoni zilizopigwa na zimempigia mwigulu zilikamatwa na utaratibu unaendelea ndani ya chama na ikiahondikana kisheri. Mwigulu hajashinda kihalali niongeze mfano mwingine maluga kura za mwigulu ni mia saba na hamsin na sita wakati kijiji kizima waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ni 722.kwa hakuna uhalisia wa kura alizopata zaidi ya wizi tena wa kitoto. Amekimbilia hapa kwenye jukwaa kujiosha tu mbivu na mbichi zitajulikana mwaka huu
 
Hujui siasa..... Wala hujui mipango iliyopo, ni vyema ukae kimya....

Na ni tokea lini Ole Sendeka alikuwa kambi ya Lowassa?
Hakuna cha mipango hapo. Mmepigwa bao la kisigino. Subirini bao la mkono
 
Mwenye taarifa mbeya mjini kapita nani anayekuja pambana na moto wa sugu????
 
Katika jumbo la Bunda @Wassira ameshindwa na mmoja wa wapinzani wake my.Maboto lakini mkuu wa wilaya anagoma matokeo yasitangazwe kwamba yahesabiwe upya na wananchi wamedai kuwa Maboto ameshinda na endapo watalazimisha kuwa ni Wassira back kura sao zitaenda Ukawa. katika mzozano huo, mkuu wa wilaya amepiga simu Polisi na wakaja zaidi ya Polisi 15 na silaha za moto kutuliza amani katika of is I ya CCM wilaya ambapo ndo eneo la tukio.
 
mod naomba msiondoe huo uzi niliouweka kuhusu kuumbuka kwa mwigulu ni habari za uhakika kura za maoni zilizopigwa na zimempigia mwigulu zilikamatwa na utaratibu unaendelea ndani ya chama na ikiahondikana kisheri. Mwigulu hajashinda kihalali niongeze mfano mwingine maluga kura za mwigulu ni mia saba na hamsin na sita wakati kijiji kizima waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ni 722.kwa hakuna uhalisia wa kura alizopata zaidi ya wizi tena wa kitoto. Amekimbilia hapa kwenye jukwaa kujiosha tu mbivu na mbichi zitajulikana mwaka huu
unacholalamika kwa CCM hakitasikilizwa
km Mwigulu kaongoza kwa kura 1 hata ya Goli la Mkono HATAKATWA wala hakuna Rufaa
Hiyo ndiyo CCM niijuayo hapo Mwigulu KASHINDA

 
WW unaesema ana ngoma umejuaje?mbona ulishindwa kumsindikiza mkeo klinic baada ya kutokujiamini?sasa unasubiri mkeo akijifungua anyonyeshe ujione ni mzima!uache kabisa kumnyooshea mwingine kidole
 
Back
Top Bottom