Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

FUONI, ZANZIBAR.
Mzee Yusuf ameshinda.
DIMANI, ZANZIBAR.
Abbas Mwinyi ameshinda.
UBUNGO.
Didas Masaburi ameshinda.
URAMBO.
Margert Sitta ameshinda.
MTERA.
Livingston Lusinde ameshinda.
LUDEWA.
Deo Filikunjombe ameshinda.
KONGWA.
Job Ndugai ameshinda.
ISIMANI.
William Lukuvi ameshinda.
KIBAMBA.
TUNDURU KUSINI.
Mtutura A. Mtutura chalii, kashinda Mpakate.
MULEBA KASKAZINI.
Charles Mwijage kashinda.
SUMBAWANGA MJINI.
Hillaly Aesh Amour kashinda.
SHINYANGA.
Steven Maselle kashinda.
BUSANDA.
Lolesia Bukwimba kashinda.
MASWA MASHARIKI.
Stanslaus Nyongo kashinda.
KISHAPU.
Suleiman Nchambi kashinda.
ROLYA.
Lameck Airo kashinda.
BUCHOSA.
Charles Tizeba kashinda.
NZEGA VIJIJINI.
Hamis Kigwangala kashinda.
TANGA MJINI.
Omari Nundu kashinda.
KYELA.
Mwakyembe kashinda.
MUSOMA VIJIJINI
Nimrod Mkono kashinda.
ZANZIBAR.
Naibu Waziri wa mambo ya ndani, Pereira Silima
kaangukia pua.
SENGEREMA.
William Ngeleja kamshinda Lawrence Masha.
BUKOBA MJINI.
Balozi Khamis Kagasheki kamshinda hasimu
wake mkuu, Meya Anatory Amani.
KIGOMA MJINI
Dr Aman Kabourou ameshinda.
Ismail Aden Rage, aanguka Tabora mjini.
JIMBO LA KILOLO.
Prof Peter Msolla hoi kwa Venance Mwamoto.
Adam Malima apigwa chini Mkuranga.
Prof. Sospeter Muhongo ameshinda kwa 99%
Musoma Vijijini kati ya wagombea wenzake 6!!
Nzega Mjini Bashe kashinda kwa asilimia 99%
Mwigulu Nchemba Ashinda kwa 99 % kura za
maoni Ubunge jimbo la Iramba

Nyalandu kashinda Singida Kaskazini kwa 85%
 
Nakumbuka mwaka wa 1979 mashujaa wetu walipotoka vitani waliripoti kwa mkubwa wao, walitoa taarifa yao yenye maneno machache kwamba "kazi tuliyotumwa tumeimaliza"

Vijana wetu na wamama tuliowatuma baada ya kukabidhiwa kadi za ccm katika ofisi za chama, waliopewa jukumu la kuhakikisha wanampigia kura mgombea tunayetaka kupanda naye jukwaani. Mungu mkubwa wanachama wetu wa chadema wenye kadi za CCM wamerudi kwa furaha, wametupatia taarifa kuwa "kazi waliyotumwa wamemaliza"

Mh. Lema hana haja ya kufanya kampeni tena Arusha, jukumu alilonalo sasa ni kwenda kuwashukuru wananchi wakati anasubiri kuapishwa.

Huyu Monaban ambaye hapa Arusha anajulikana kuwa mbakaji wa maeneo ya wazi kwa kujimilikisha kwa hila tunampiga asubuhi kabla ya misa ya kwanza...

Huyu ni nfuasi mkubwa sana wa EL. Ikikaribia uchaguzi anajitoa.
 
Wakuu salama
Hatimaye Sendeka aliyekuwa mbunge wa simanjiro anapumulia mashine baada ya mpinzani wako Toima kumpita mbali kwa kura nyingi,mpaka sasa Toima anaongoza kwa kumuacha sendeka mbali sna.Habari zaidi zinasema sendeka hakuamini hali iliyopelekea kuanzisha vurugu ili kuharibu matokeo,Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya zaidi kwani tayari ameshapigwa kama kata kumi na moja ndipo alipoomba msaada serikalini mapaka sasa tunazungumza FFU wako kila kona,HIYO NDO HALI HALISI YA SIMANJIRO
 
FUONI, ZANZIBAR.
Mzee Yusuf ameshinda.
DIMANI, ZANZIBAR.
Abbas Mwinyi ameshinda.
UBUNGO.
Didas Masaburi ameshinda.
URAMBO.
Margert Sitta ameshinda.
MTERA.
Livingston Lusinde ameshinda.
LUDEWA.
Deo Filikunjombe ameshinda.
KONGWA.
Job Ndugai ameshinda.
ISIMANI.
William Lukuvi ameshinda.
KIBAMBA.
TUNDURU KUSINI.
Mtutura A. Mtutura chalii, kashinda Mpakate.
MULEBA KASKAZINI.
Charles Mwijage kashinda.
SUMBAWANGA MJINI.
Hillaly Aesh Amour kashinda.
SHINYANGA.
Steven Maselle kashinda.
BUSANDA.
Lolesia Bukwimba kashinda.
MASWA MASHARIKI.
Stanslaus Nyongo kashinda.
KISHAPU.
Suleiman Nchambi kashinda.
ROLYA.
Lameck Airo kashinda.
BUCHOSA.
Charles Tizeba kashinda.
NZEGA VIJIJINI.
Hamis Kigwangala kashinda.
TANGA MJINI.
Omari Nundu kashinda.
KYELA.
Mwakyembe kashinda.
MUSOMA VIJIJINI
Nimrod Mkono kashinda.
ZANZIBAR.
Naibu Waziri wa mambo ya ndani, Pereira Silima
kaangukia pua.
SENGEREMA.
William Ngeleja kamshinda Lawrence Masha.
BUKOBA MJINI.
Balozi Khamis Kagasheki kamshinda hasimu
wake mkuu, Meya Anatory Amani.
KIGOMA MJINI
Dr Aman Kabourou ameshinda.
Ismail Aden Rage, aanguka Tabora mjini.
JIMBO LA KILOLO.
Prof Peter Msolla hoi kwa Venance Mwamoto.
Adam Malima apigwa chini Mkuranga.
Prof. Sospeter Muhongo ameshinda kwa 99%
Musoma Vijijini kati ya wagombea wenzake 6!!
Nzega Mjini Bashe kashinda kwa asilimia 99%
Mwigulu Nchemba Ashinda kwa 99 % kura za
maoni Ubunge jimbo la Iramba

Mfumo wa Mafisadi huo unarudi.
 
Mzee MOLLEL katoswa? Basi lema mbunge wa arusha tena.
 
FUONI, ZANZIBAR.
Mzee Yusuf ameshinda.
DIMANI, ZANZIBAR.
Abbas Mwinyi ameshinda.
UBUNGO.
Didas Masaburi ameshinda.
URAMBO.
Margert Sitta ameshinda.
MTERA.
Livingston Lusinde ameshinda.
LUDEWA.
Deo Filikunjombe ameshinda.
KONGWA.
Job Ndugai ameshinda.
ISIMANI.
William Lukuvi ameshinda.
KIBAMBA.
TUNDURU KUSINI.
Mtutura A. Mtutura chalii, kashinda Mpakate.
MULEBA KASKAZINI.
Charles Mwijage kashinda.
SUMBAWANGA MJINI.
Hillaly Aesh Amour kashinda.
SHINYANGA.
Steven Maselle kashinda.
BUSANDA.
Lolesia Bukwimba kashinda.
MASWA MASHARIKI.
Stanslaus Nyongo kashinda.
KISHAPU.
Suleiman Nchambi kashinda.
ROLYA.
Lameck Airo kashinda.
BUCHOSA.
Charles Tizeba kashinda.
NZEGA VIJIJINI.
Hamis Kigwangala kashinda.
TANGA MJINI.
Omari Nundu kashinda.
KYELA.
Mwakyembe kashinda.
MUSOMA VIJIJINI
Nimrod Mkono kashinda.
ZANZIBAR.
Naibu Waziri wa mambo ya ndani, Pereira Silima
kaangukia pua.
SENGEREMA.
William Ngeleja kamshinda Lawrence Masha.
BUKOBA MJINI.
Balozi Khamis Kagasheki kamshinda hasimu
wake mkuu, Meya Anatory Amani.
KIGOMA MJINI
Dr Aman Kabourou ameshinda.
Ismail Aden Rage, aanguka Tabora mjini.
JIMBO LA KILOLO.
Prof Peter Msolla hoi kwa Venance Mwamoto.
Adam Malima apigwa chini Mkuranga.
Prof. Sospeter Muhongo ameshinda kwa 99%
Musoma Vijijini kati ya wagombea wenzake 6!!
Nzega Mjini Bashe kashinda kwa asilimia 99%
Mwigulu Nchemba Ashinda kwa 99 % kura za
maoni Ubunge jimbo la Iramba

Ahsante kwa taarifa.
 
kesho utasikia ccm hakuna demokrasia anaenda chadema
 
Matokeo Rasmi Jimbo La Mbeya Mjini
Matokeo kwa kata zote 35 Mbeya Mjini
Kajuna 4295
Shitambala 4045
Mwakipesile 2316
Mwakwenda 185
Numbi 192
Mwasanguti 192
Mwaiteleke 1524
Mbembela 85
Fatuma 637
Mwaisumbe 633
Swilla 197
Mwakisu 1060
Mwakilili 1262
Makombe 934
Mbuza 158
 
Cdm wajihadhari wasipokee kila mtu. Huyu na Makongoro Mahanga sina imani nao
 
Back
Top Bottom