Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!

Nani mjinga asuyefahamu kuwa hii thread ni kampeni ya kuihadaa Kamati kuu ya ccm isimkate huyo mwakalibibi wako! Kwa taarifa yako atakatwa tuu maana hakuna namna.
 
Malima akiangukia pua tutashukuru kwani amekukwa bigwa.wa kutetea maovu pale mjengoni na kuwabeza wapinzani.

Mimi nimefurahishwa sana na kale kamama ka nkenge kukatwa mchana kweupe
 
Tarime Vijijini Nyambari Nyangwine amekinukisha.Zoezi limeahirishwa hadi Jumatatu baada ya masunduku mengi sana kukamatwa ktk maeneo tofauti tofauti hapa Tarime.

Ndani yake kulikuwa na kura za mbunge anayemaliza muda wake Nyambari Nyangwine.

Huyu jamaa ana kazi ya ziada ili apate ushindi kwa vile wananchi hawamtaki maana hajawafanyia lolote miaka 5 iliyopita
.

Jitahidini muwapige chini hao wagamba,kazi yao bungeni ni kulala na kupiga makofi tu na ndiyooooooooooo
 
Jimbo la kibakwe simbachawene anagawa fedha kama njugu Jana hapa kwenye kitongoji cha msangambuya Kata ya mtera mnapanga foleni unapewa 10000/_ unaambiwa chagua simbachawene kwakweli mkoa wa Dodoma takukuru imelala kuliko mkoa wowote walikuwa wameuchuna tu naamini hata wao walipoozwa kwani simbachawene na mawakala wake wamegawa fedha mchana kweupe.binafsi nimepewa 10000 na kula simpi.

Hongera sana kamanda kwa kula noti ya gamba na kura uipeleke ukawa
 
singida mjini wamemtangaza mazala kashinda watu pale pale jengo la ccm mkoa wakaanza kuimba peopleee power,hawajaridhika na goli la mkono so wameapa ushindi wa jimbo ni kwa ukawa.

hahahaha mazala yule alikuwa muuza kuku pale sokon kipind kile...duuuuuu ila watu wanabahat ase
alikuwa kachoka ni hakunaga..
 
Mathias Byabato

Umefanya vyema kutuwekea live updates, kuna watia nia hapo sioni kama wana sifa...mfano Karamagi,Kamala alitutukana kuwa tule nkende kama wanatusumbua shambani.

Dr. Aman na Kagasheki nao wapumzishwe walau siasa za Bukoba zirudi katika mstari.

Chachuombara wewe unaogopa kula nkende?ni kitoweo poowa kabisa ndio maana mbunge wenu aliwashauri ili wananchi wake mpate full nutrients
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyu mtoto sijui nani kamuambia awe anashinda jukwaa la siasa, hua anaandika kule MMU "aibu naona mimi" tabia hizi ni za kike, na ndio maana umeona pumba zake.
Akikua tunategemea ataacha ni kama mtoto kikojozi.
 
Kata ya Stakishari Kipawa jimbo la Segerea Dar es Salaam uchaguzi umeahirishwa, baada ya sintofahamu kubwa kutokana na wanachama wengi wenye kadi za CCM kuibuka na majina yao kutokuwepo kwenye ledger book, hivyo kukosa sifa ya kupiga kura...ngumi na matusi yakaanza..kati ya watia nia udiwani na ubunge.....

Wangetoana mimacho kabisa
 
Huku kata ya Luhundwa Simbachawene na diwani aliyeko madarakani wameiba fomu za kupigia kura kutoka kijiji cha ikuyu kupeleka vijiji wanapokubalika, hata hivyo baadhi ya matawi wanachama wamegoma kupiga kura hadi fomu 400 zilizoibwa zirudi

Simbachawene ni mwizi kumbe?
 
Huku mkwajuni chunya mulugo alikuwa anatoa 10 million kila kata
 
Kwa mkwajuni wananchi wameapa kuchagua mgombea wa cdm kwani yupo very smart
 
Huku mkwajuni chunya mulugo alikuwa anatoa 10 million kila kata
Dah I wish ningekutana nao mkuu .Nilikuwa Mbezi beach nikaona watu wa chama wamekaa na viongozo wa polisi bila kujia lengo lilikuwa nini baadae nikaondoka kuelekea Last Born...
 
Back
Top Bottom