KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mkuu kumbuka huu ni mwaka wa maamuzi hivyo hayo ni mambo ya kawaida sana
Kweli mkuu huu ni mwaka wa maamuzi magumu....lakini mkuu sijui ni kwanini moyo wangu unakuwa mgumu kuukubali uwepo wa Lowasa pale UKAWA.....
MACHALE YANANICHEZA SANA NA HUYU MZEE...