Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nawatakia kilala kheri misri funga Taifa stars 6~0
Huyu mohammed salah anasumbua sana beki zetu
Hadi sasa Dida ndiye anayetutoa...
na kuna uwezekano mkubwa huyo mchezaji akatua unyamani " simba sports club ". sipati picha huku okwi, mavugo, mgosi na salah. goli ndogo sana ambazo timu pinzani zitakuwa zinafungwa ni 7 au 8 ila kwa yanga wakijitahidi sana watapigwa kati ya goli 11 au 13. kwakuwa kaburu yupo ktk msafara najua atamalizana nae tu kwani hata mchezaji mwenyewe ana mahaba na mnyama.
Viungo wa Tanzania Kiemba, Kazimoto na Mkude ni kama hawapo...
Hadi sasa sijamuona Samatta wala Ulimwengu wamegusa mpira...