Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Nilikuwepo eneo la tukio ,toka siku hiyo nimechukia silaha ,nikiona mtu ana silaha hasa bunduki huwa namshauri awe ana iacha home, ule usiku ulikua mbaya sana, mshikaji alikufa kavaa tshirt imeandikwa WHOW IS REAL ,WHOW IS FAKE nyekundu, halafu akauwaa na best yake 😭
mpuuz huyoMkewe na mwanae wakiwa ndani daah, soo Sad..,R.I.P Afande!!
Unaachana navyo tuKwa level zake hakupaswa kuwa na pigo hizo.
Ukishakuwa captain tu ni mtu mwingine kabisa.
Kato atakula mvua ataenda kukaaNamuonea huruma sana kijana kato hiyo kesi hawezi pona lazima waingilie kati mvua inamuhusu ila kama ana ndugu wazito ana haki hapo maana hiyo ni manslaughter
Nasubiria update nyingine tenaIla mwanangu GENTAMYCINE bonge la story teller.... story inavyoisimulia like movie hivi...... kipaji unacho master!!
sion haja ya yote haya , wkt mweny kosa ni mjeshiHivi wale wapiga debe wa kawe mkwamani na kawe tanganyika packers bado wapo ?
Wale ndiyo chanzo cha wizi wa kawe .
Vilevile kuna asilimia kubwa ya Bajaji na Bodaboda wanashirikiana na wezi au wao vilevile ni wezi .
Huyo dogo atakuwa anatumia bangi au ni mwizi
hii nchi imeozaAlomuua washamkamata sijui wanaenda kuwapiga raia kwasababu gani tena
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Kanali mtu mkubwa sana jeshini.Unaachana navyo tu
Maisha yenyewe vita tosha
Ova
Roho mbaya tuKwakweli ni suala la kushangaza maana taarifa zinasema wamemkamata jana usiku sasa raia wengine kipigo cha nn
Luteni Kanali
Dereva Bajaj