Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

Mjeda kwanza haitakiwi umletee ubabe raia. Inatakiwa u take pride kumlinda mwananchi na maadui wa nje ya nchi. Awe salama achape kazi Pato la Taifa lipatikane alipe Kodi na wewe ulipwe. Sasa kuwa mjeda unataka uabudiwe ama uogopwe ndio shida ilipo. Heshima inakuja yenyewe tu
 
sion haja ya yote haya , wkt mweny kosa ni mjeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…