Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mjeda kwanza haitakiwi umletee ubabe raia. Inatakiwa u take pride kumlinda mwananchi na maadui wa nje ya nchi. Awe salama achape kazi Pato la Taifa lipatikane alipe Kodi na wewe ulipwe. Sasa kuwa mjeda unataka uabudiwe ama uogopwe ndio shida ilipo. Heshima inakuja yenyewe tu