harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
Poleni wana mafia, Mungu aepushe hilo shariupepo mkali sana pamoja mvua kubwa dua zenu ila hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni wana mafia, Mungu aepushe hilo shariupepo mkali sana pamoja mvua kubwa dua zenu ila hatari sana
Poleni sana Mkuuupepo mkali sana pamoja mvua kubwa dua zenu ila hatari sana
Mkuu wao ndiyo anawajua au siyoWatajeni mawaziri wanaomtukana mama turudishe umeme.
That'll be dangerous...100km/h?
Hii ina Ukweli kiasi gani?
Nyie si majeuri pia.. wazee wa VISIWANI mnasema Hamtaki muungano na sisi pia hatuutaki ila kwa halii hii fikiria ndio imechakaza hapo Kisiwani hamna makazi hamna pa kwenda.Nimedeki maji nimechoka
Kwa hakika nitafute hela kwanguvu sana, wavu si wa kuweka dirishani bali ni wa kuvulia samaki
Nipo on bed hapa nachungulia hiko kiama kilichopo nje
Teck haidanganyi mazee we kisubirie ndani kwako100km/h?
Hii ina Ukweli kiasi gani?
Hapana Mkuu mimi sio miongoni mwaoNyie si majeuri pia.. wazee wa VISIWANI mnasema Hamtaki muungano na sisi pia hatuutaki ila kwa halii hii fikiria ndio imechakaza hapo Kisiwani hamna makazi hamna pa kwenda.
Na huku Tanganyika (mnatuita Vichogo) hatuwataki kwa wakati huo, je unafkir mtaishije? Punguzeni ujivuni.. nchi yenyew ipo katikati ya maji.
Apo bado jicho la kimbunga halijafika mbona kazi mnayoNimedeki maji nimechoka
Kwa hakika nitafute hela kwanguvu sana, wavu si wa kuweka dirishani bali ni wa kuvulia samaki
Nipo on bed hapa nachungulia hiko kiama kilichopo nje
Wafikishie salam..Hapana Mkuu mimi sio miongoni mwao
Ni upepo sio baridiWilaya ya Kisarawe upepo ni mkali.
Miti inaanguka hovyo. Baridi kali!
Upo Kisarawe?Ni upepo sio baridi