Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

Nimedeki maji nimechoka

Kwa hakika nitafute hela kwanguvu sana, wavu si wa kuweka dirishani bali ni wa kuvulia samaki

Nipo on bed hapa nachungulia hiko kiama kilichopo nje
Nyie si majeuri pia.. wazee wa VISIWANI mnasema Hamtaki muungano na sisi pia hatuutaki ila kwa halii hii fikiria ndio imechakaza hapo Kisiwani hamna makazi hamna pa kwenda.

Na huku Tanganyika (mnatuita Vichogo) hatuwataki kwa wakati huo, je unafkir mtaishije? Punguzeni ujivuni.. nchi yenyew ipo katikati ya maji.
 
Nyie si majeuri pia.. wazee wa VISIWANI mnasema Hamtaki muungano na sisi pia hatuutaki ila kwa halii hii fikiria ndio imechakaza hapo Kisiwani hamna makazi hamna pa kwenda.

Na huku Tanganyika (mnatuita Vichogo) hatuwataki kwa wakati huo, je unafkir mtaishije? Punguzeni ujivuni.. nchi yenyew ipo katikati ya maji.
Hapana Mkuu mimi sio miongoni mwao
 
Kuna ukweli wowote?

1714805152476.png
 
Back
Top Bottom