Daah kumbe we mwanamkehuyu ni mtumishi wa Mungu naYesu kristo.
huyu dada ni mwimbaji na alikuwa na ndoa na mpenzi wake aitwaye Amon ambaye ndiye "aliyembikiri" na kupata naye mtoto lakini baadae shetani aliingilia kati na ndoa ikasambaratika, yaani kesi ilienda mahakamani na talaka ikatoka.
Upendo alimlilia Mungu na akapewa mme mpya, juzi wamefunga ndoa takatifu na mume mpya, Huyu mume ni shujaa maaana anajua mtu aliyembikiri mke wake lakininkaamua kumbeba vivyo hivyo, natamani wanwake wenzangu tuige mfano wa upendo, kwa wasio mfahamu mwaweza fuata hii link mkaona zaidi.
wimbo wa zindonga
Shazam
Hivi Christina Shusho ameolewa?
Rule numbre uno: Never marry a single mother.View attachment 1043647awali alifunga ndoa yake ya kwanza na mpenzi wake amon na kupata mtoto mmoja lakini hivi sasa amefunga ndoa tena na mtu mwingine
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi Christina Shusho ameolewa?
Sasa mwimbaji mkongwe wa injili sie vijana tutamjuaje?Acheni dhihaka, hyu ni mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili maarufu na wakitambo sana, labda uwe umetoka bush juzi ndio unaweza ukashindwa kumjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm sioi Single mom mpaka nihakikishe mmewake Kafa.Rule numbre uno: Never marry a single mother.
Rule number two: Refer to rule.number one
Mimi huwa siwajui kihivyo najua tuu Pendo Nkone alifiwa na mmewe na akaja kumpata mme mwingine
Labda ni wale "wasiojulikana"Kaolewa na mtu asiyeona? Mbona miwani myeusi?
Babu anaonekana ana pesa tu. Kama mzee wetu mwenye mipesa kama yote.Ni maendeleo pia hayo labda ametoka kwenye kibamia ameingia kwenye tango
Sent using Jamii Forums mobile app
Shusho kaolewa. Hata jina la shusho ni la mume wake
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Kazuri sana.Yes sir.
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Kaolewa na mtu asiyeona? Mbona miwani myeusi?
Huyu jamaa nampa poleHapooView attachment 1043668View attachment 1043669View attachment 1043670
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Hata Mimi ndiyo namfahamu Leo..Sasa kutomjua huyo Upendo ni dhihaka!? Mimi mwenyewe namsikia na kumuona leo.