Upendo Kilahiro afunga ndoa ya pili

Upendo Kilahiro afunga ndoa ya pili

Tuige huu ujinga ndugu?
Kwa Yesu hakuna talaka!

Narudia tena kuna tatizo kwny hii hii tasnia ya gospel,wanawake wanajisahau sn yaani!

Hii sio ndoa takatifu bwana ,ndoa ya pili iwe takatifu? How?

sent using...tecno wereva[emoji23]
Dah,hii tasnia ya gospel **** tatizo la kiroho tena kubwa tu!
Hii sio sawa wanamtangaza Yesu yupi jmn?

sent using...tecno wereva[emoji23]

Na nnafikiri ndio sababu ya kufungua huu uzi sema mleta mada hajaweka wazi.

Ukiangalia wanawake wengi(Flora pia) wanaoimba gospel wameonesha hii tabia.Binafsi sijui wachungaji wanaofungisha hizi ndoa wana misimamo gani.
 
huyu ni mtumishi wa Mungu naYesu kristo.

huyu dada ni mwimbaji na alikuwa na ndoa na mpenzi wake aitwaye Amon ambaye ndiye "aliyembikiri" na kupata naye mtoto lakini baadae shetani aliingilia kati na ndoa ikasambaratika, yaani kesi ilienda mahakamani na talaka ikatoka.

Upendo alimlilia Mungu na akapewa mme mpya, juzi wamefunga ndoa takatifu na mume mpya, Huyu mume ni shujaa maaana anajua mtu aliyembikiri mke wake lakininkaamua kumbeba vivyo hivyo, natamani wanwake wenzangu tuige mfano wa upendo, kwa wasio mfahamu mwaweza fuata hii link mkaona zaidi.

wimbo wa zindonga





Shazam

unatetea ujinga
 
wasanii wa kike wa gospel wana mahangaiko mnooo mnooo kuanzia kwenye life ad madhabahuni wanakua wana mawenge mno


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom