Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
noda=ndoaKile kile kilichomshinda kwenye ndoa yake na Amoni kitamshinda katika noda hii pia, ndoa si kitu ya kuchezea, inataka uvumilivu
Tuige huu ujinga ndugu?
Kwa Yesu hakuna talaka!
Narudia tena kuna tatizo kwny hii hii tasnia ya gospel,wanawake wanajisahau sn yaani!
Hii sio ndoa takatifu bwana ,ndoa ya pili iwe takatifu? How?
sent using...tecno wereva[emoji23]
Dah,hii tasnia ya gospel **** tatizo la kiroho tena kubwa tu!
Hii sio sawa wanamtangaza Yesu yupi jmn?
sent using...tecno wereva[emoji23]
Leo nilikua nimeboekaaa ila JF bana dah hahahahhaahahhaaaa sipendi kabisa mwanaume mwenye mtambiVitambi kama vyote. Hapo lazima watumie mito kufikiana na kupata mshindo
Toa sababuLeo nilikua nimeboekaaa ila JF bana dah hahahahhaahahhaaaa sipendi kabisa mwanaume mwenye mtambi
unatetea ujingahuyu ni mtumishi wa Mungu naYesu kristo.
huyu dada ni mwimbaji na alikuwa na ndoa na mpenzi wake aitwaye Amon ambaye ndiye "aliyembikiri" na kupata naye mtoto lakini baadae shetani aliingilia kati na ndoa ikasambaratika, yaani kesi ilienda mahakamani na talaka ikatoka.
Upendo alimlilia Mungu na akapewa mme mpya, juzi wamefunga ndoa takatifu na mume mpya, Huyu mume ni shujaa maaana anajua mtu aliyembikiri mke wake lakininkaamua kumbeba vivyo hivyo, natamani wanwake wenzangu tuige mfano wa upendo, kwa wasio mfahamu mwaweza fuata hii link mkaona zaidi.
wimbo wa zindonga
Shazam
Waulize wanaowatoaKwanini wanawake siku hizi hawawezi kutunza bikra mpaka waolewe ?.
wanatunza, wanawake wengi wa kilokole ni bikra, na wanaolewa nazo na utafiti unaonyesha hoteli nyingi maharusi wa kilokole wakilala wanachafua shuka kwa damu siku ya fungateWaulize wanaowatoa
Mwehwanatunza, wanawake wengi wa kilokole ni bikra, na wanaolewa nazo na utafiti unaonyesha hoteli nyingi maharusi wa kilokole wakilala wanachafua shuka kwa damu siku ya fungate
wanasifiwa sanaawasanii wa kike wa gospel wana mahangaiko mnooo mnooo kuanzia kwenye life ad madhabahuni wanakua wana mawenge mno
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unachoo? kama unacho sbb unazijuaToa sababu
mbonsaa tuliwaambia wachagga huko kilimanjaro wasubiri?Maendeleo Hayana Chama
Haambonsaa tuliwaambia wachagga huko kilimanjaro wasubiri?
mbona tuliwavunjia wachagaa wa kimara bila fidia?
Mungu atawalipa tu wachagaa
Hakuna dhihaka ndio kwanza nimesikia hilo jina.Acheni dhihaka, hyu ni mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili maarufu na wakitambo sana, labda uwe umetoka bush juzi ndio unaweza ukashindwa kumjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana wa kwanza hajafa? Basi kirahilo anazini mchana kweupeWa kwanza alikuwa Sharo kazi hawez wacha babu afurahie uumbaji
Duh!Vitambi kama vyote. Hapo lazima watumie mito kufikiana na kupata mshindo
Wote hao USED. Sasa huyo jamaa na miwani lake kama kiatu alikuwa single?
Wamekutana wote bwiiii