Mbona haujibu swali langu ?, kwa hiyo unatuona sisi wenye vitambi ni mazwazwa ?, wenzio wanavitafuta ujue.Unachoo? kama unacho sbb unazijua
Sio sura tu, Binafsi ninamuona akiwa hana amani ya moyo wake, Nafsi yake inamshitaki kwa kumuacha mume wake walianza nae maisha na kuja kulewa na black gogles
Waislam ndio tunaongoza kwa kuzipenda hizi nyimbo za gospelSio kila muimbaji wa gospel anafahamika,binafsi ni muslim unataka kusema namjua uyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
ahhahaha sio mazwazwa pls sijasema hayo. Kitambi kinaondoa uwajibikajiMbona haujibu swali langu ?, kwa hiyo unatuona sisi wenye vitambi ni mazwazwa ?, wenzio wanavitafuta ujue.
lazma utakuwa unamjua kwakuwa kwaya zinapigwa kila kona na kwenye mabasi , tv, machinga na kila kona, kwahiyo hata waislam wengi tu wanaimba nyimbo za gospell na wanazipendaSio kila muimbaji wa gospel anafahamika,binafsi ni muslim unataka kusema namjua uyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
upo sahihi......Watu hawajui maana ya kuvaa shela. Hiyo aliyoweka kichwani hakupaswa kuivaa. Shela inavaliwa na mwanamke ambaye hana mtoto ikimaanisha hakuwa na mwanaume. Makanisa mengi siku hizi Kama ulishazaa hivai shela kichwani, Ni marufuku.
Sasa huyu dada yangu kujifunika huko kakosea.
uzinzi inakuruhusu kuvunja ndoa na sio kuoa tena!........Ndoa ya kanisani inavunjika na kuruhusiwa kuoa au kuolewa tena kwa mara nyingine ikiwa mwenza bado yuko hai?
Nakumbuka sababu moja tu inaweza kupelekea hiko kutokea, uasherati/uzinzi.
Sasa kwa haya maelezo, wanaangukia kwenye kundi lipi?
Lakini mambo ya ndoa na mahusiano ni magumu sana, wakati mwingine ni rahisi sana kulaumu au kutia watu moyo kama mambo hayajakufika.
you're right!wanatunza, wanawake wengi wa kilokole ni bikra, na wanaolewa nazo na utafiti unaonyesha hoteli nyingi maharusi wa kilokole wakilala wanachafua shuka kwa damu siku ya fungate
Dah kidogo huyo jamaa nidhani ni mimiView attachment 1043647awali alifunga ndoa yake ya kwanza na mpenzi wake amon na kupata mtoto mmoja lakini hivi sasa amefunga ndoa tena na mtu mwingine
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tofautisha Uasherati na Uzinzi.uzinzi inakuruhusu kuvunja ndoa na sio kuoa tena!........
actually biblia inaposema uzinzi ina maanisha mtu na mchumba wake ambao wamemaliza hatua zote za posa na mahari, wanasubiri tu kubarikiwa na watumishi wa Mungu waanze maisha, hapo mmoja akianguka ktk uzinzi basi mwingine ana haki ya kukuacha na kwenda kuolewa tena!......
ila kwa wanandoa, hakuna sababu inayoweza kukufanya ufunge ndoa tena kama mwenza yupo hai...... unless awe amefariki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiondoa wahudumu wa baa hii ndo tasnia inayofuatia kwa sasa kwa uzinzi kwa watoto wa kike.Kama sikosei ni mwanamuziki wa nyimbo za injili..... alikuwa anaimba pamoja na mume wake aitwaye amoni kilahiro....
Aisee kama ni kweli wameachana itakua ni pigo lingine kwa taswira ya maisha ya watumishi wa muziki wa injili
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeeeUkiondoa wahudumu wa baa hii ndo tasnia inayofuatia kwa sasa kwa uzinzi kwa watoto wa kike.
Sent using Jamii Forums mobile app
ok zinanichanganya kutofautisha,........Tofautisha Uasherati na Uzinzi.
Kabla alikuwa muimba kwaya, umaarufu ulivyo mkolea akaanza kuacha kitovu wazi na vinguo vifupi, akapigwa "stop" kumuimbia God na Jizazi...Lady jaydee kaanza lini kuimba Gospel mkuu? Au sijaelewa vzr comment yako?
Hahahaha mkuu umetishaRule numbre uno: Never marry a single mother.
Rule number two: Refer to rule.number one