Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,510
Kuwa mkongwe kwenye uimbaji haina maana kila mtu anamjua. Kuna wengine maustaadh humu hawamjui.Acheni dhihaka, hyu ni mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili maarufu na wakitambo sana, labda uwe umetoka bush juzi ndio unaweza ukashindwa kumjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kudhalilisha watu wenye wokovu/waliokoka/wanaofuata neno la Mungu kwani huwa hawaolewi ovyo ovyo kama huyu unayemsema.Hana wito wa neno la Mungu bali kuimba injili ni kama kichaka cha kuficha maovu/uzinzi wake.Ndoa ya pili?Ya kwanza imekuaje?Mme wake wa kwanza yuko wapi?Na yeye umaarufu wake?Chanzo cha kuachana?Walikuwa na watoto wangapi au?Mme wa sasa hakuwa ameoa?Ana watoto wangapi?Alikuwa na umaarufu gani?Mke wake wa mwanzo yupo wapi?Waliachana au Mola aliwatenganisha?
Acha kukurupuka huko uliko,eti ana umaarufu,UPI?Wa kuolewa mara ya pili au?Umaarufu wake itakuwa ni wa kuolewa mara ya pili kwa sababu inaonyesha wamevuta umri haswa.Eti ni maarufu,mnakurupuka kutoka huko Pugu mnada wa ng'ombe mkiwa mnatafuna vidari vya ng'ombe na kuposti uzi kututaka kutuaminisha kuwa alikuwa ni mtu maarufu sanaaaa wakati ni mama huyu ni maarufu kwenye familia yako labda kidogo kwenye ukoo wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwimbaji wa injili kama cjakosea aka mpendwaYaani humu kuna watu huwa wanakurupuka kuanzisha nyuzi za ajabu kweli.!
Utakuta mtu anaandika habari inayomhusu jirani yake halafu anafikiri watu wote humu wanamjua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kesi niliisikiaga kupitia kwa rafiki yangu mmoja ambaye mjomba wake alikuwa mume wa binti...'inasemekana mzee mwenye mvi nyingi' alihusika ndoa ikawa chungu na binti alipenda umatemate basi ikavunjwa kimya kimya maana mjomba aligoma kushare!! usimwambie mtu ilikua miaka ya kama 10 hivi nyuma kama kumbukumbu zangu ziko njemaAlikuwepo mwingine akiitwa Beatrice Muhone, aliivuruga ndoa yake alipojaribu kutoa album ilikuwa kama kituko, Biblia inasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote
nakumbuka hiyo issue mkuu utakuwa wa kitambo sana weweKabla alikuwa muimba kwaya, umaarufu ulivyo mkolea akaanza kuacha kitovu wazi na vinguo vifupi, akapigwa "stop" kumuimbia God na Jizazi...
Ni miaka mingi huko nyuma... Kipindi kiilee ndo akaanza kuhangaika na katoto(mistabuluu) ka shule,na kuvuta...
Hivi yuko wapi sasa hivi Beatrice ?Hii kesi niliisikiaga kupitia kwa rafiki yangu mmoja ambaye mjomba wake alikuwa mume wa binti...'inasemekana mzee mwenye mvi nyingi' alihusika ndoa ikawa chungu na binti alipenda umatemate basi ikavunjwa kimya kimya maana mjomba aligoma kushare!! usimwambie mtu ilikua miaka ya kama 10 hivi nyuma kama kumbukumbu zangu ziko njema
Sisi tunamjua Shusho huyo Upendo labda aliimba hizo gospel zama za RTD kabla hajang'atuka madarakani baba wa taifa.Acheni dhihaka, hyu ni mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili maarufu na wakitambo sana, labda uwe umetoka bush juzi ndio unaweza ukashindwa kumjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Xamaniukristo hauruhusu ndoa mara mbili mkuu, mtaliki wako akiwa hai
haipo wan foji hao
nashangaa unashobokea
Ha ha ha haDaah kumbe we mwanamke
Anaweza kuwa mlinzi wa maselebuKaolewa na mtu asiyeona? Mbona miwani myeusi?
Mkaishi kwa UpendoHapooView attachment 1043668View attachment 1043669View attachment 1043670
Ngobekezela NKOSI Ngobekezela
Kweli! Injili fake ya makanisa ya mifukoni ndio wanaweza kufungisha ndoa kwa watu ambao walishafunga ndoa halali na takatifu. Kama ndoa ni halali na imefungwa Kanisani hakuna talaka hadi mauti! Ukweli mchungu! Tena fundisho la Yesu mwenyewe!Tuige huu ujinga ndugu?
Kwa Yesu hakuna talaka!
Narudia tena kuna tatizo kwny hii hii tasnia ya gospel,wanawake wanajisahau sn yaani!
Hii sio ndoa takatifu bwana ,ndoa ya pili iwe takatifu? How?
sent using...tecno wereva[emoji23]
Hata uasherati hauvunji ndoa ni misinterpretation tu. Yesu anasema toka mwanzo halikuwa kusudio la Mungu kuwe na talaka lakini Musa aliruhusu sababu ya ugumu wa mioyo ya wana wa Israel.Ndoa ya kanisani inavunjika na kuruhusiwa kuoa au kuolewa tena kwa mara nyingine ikiwa mwenza bado yuko hai?
Nakumbuka sababu moja tu inaweza kupelekea hiko kutokea, uasherati/uzinzi.
Sasa kwa haya maelezo, wanaangukia kwenye kundi lipi?
Lakini mambo ya ndoa na mahusiano ni magumu sana, wakati mwingine ni rahisi sana kulaumu au kutia watu moyo kama mambo hayajakufika.