Upendo Kilahiro afunga ndoa ya pili

Upendo Kilahiro afunga ndoa ya pili

Acha kudhalilisha watu wenye wokovu/waliokoka/wanaofuata neno la Mungu kwani huwa hawaolewi ovyo ovyo kama huyu unayemsema.Hana wito wa neno la Mungu bali kuimba injili ni kama kichaka cha kuficha maovu/uzinzi wake.Ndoa ya pili?Ya kwanza imekuaje?Mme wake wa kwanza yuko wapi?Na yeye umaarufu wake?Chanzo cha kuachana?Walikuwa na watoto wangapi au?Mme wa sasa hakuwa ameoa?Ana watoto wangapi?Alikuwa na umaarufu gani?Mke wake wa mwanzo yupo wapi?Waliachana au Mola aliwatenganisha?

Acha kukurupuka huko uliko,eti ana umaarufu,UPI?Wa kuolewa mara ya pili au?Umaarufu wake itakuwa ni wa kuolewa mara ya pili kwa sababu inaonyesha wamevuta umri haswa.Eti ni maarufu,mnakurupuka kutoka huko Pugu mnada wa ng'ombe mkiwa mnatafuna vidari vya ng'ombe na kuposti uzi kututaka kutuaminisha kuwa alikuwa ni mtu maarufu sanaaaa wakati ni mama huyu ni maarufu kwenye familia yako labda kidogo kwenye ukoo wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app

uyu ni maarufu sema ndio awavumi awa ndio walikua waimbaji binafsi wa gospel miaka iyoo kabla ata ya awo una wataja alfu sikia usiwe mbishi kuna google mzee ruka uko fasta ama youtube ndio unapata data zote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Alikuwepo mwingine akiitwa Beatrice Muhone, aliivuruga ndoa yake alipojaribu kutoa album ilikuwa kama kituko, Biblia inasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote
Hii kesi niliisikiaga kupitia kwa rafiki yangu mmoja ambaye mjomba wake alikuwa mume wa binti...'inasemekana mzee mwenye mvi nyingi' alihusika ndoa ikawa chungu na binti alipenda umatemate basi ikavunjwa kimya kimya maana mjomba aligoma kushare!! usimwambie mtu ilikua miaka ya kama 10 hivi nyuma kama kumbukumbu zangu ziko njema
 
Kabla alikuwa muimba kwaya, umaarufu ulivyo mkolea akaanza kuacha kitovu wazi na vinguo vifupi, akapigwa "stop" kumuimbia God na Jizazi...
Ni miaka mingi huko nyuma... Kipindi kiilee ndo akaanza kuhangaika na katoto(mistabuluu) ka shule,na kuvuta...
nakumbuka hiyo issue mkuu utakuwa wa kitambo sana wewe
 
Hii kesi niliisikiaga kupitia kwa rafiki yangu mmoja ambaye mjomba wake alikuwa mume wa binti...'inasemekana mzee mwenye mvi nyingi' alihusika ndoa ikawa chungu na binti alipenda umatemate basi ikavunjwa kimya kimya maana mjomba aligoma kushare!! usimwambie mtu ilikua miaka ya kama 10 hivi nyuma kama kumbukumbu zangu ziko njema
Hivi yuko wapi sasa hivi Beatrice ?
 
Tuige huu ujinga ndugu?
Kwa Yesu hakuna talaka!

Narudia tena kuna tatizo kwny hii hii tasnia ya gospel,wanawake wanajisahau sn yaani!

Hii sio ndoa takatifu bwana ,ndoa ya pili iwe takatifu? How?

sent using...tecno wereva[emoji23]
Kweli! Injili fake ya makanisa ya mifukoni ndio wanaweza kufungisha ndoa kwa watu ambao walishafunga ndoa halali na takatifu. Kama ndoa ni halali na imefungwa Kanisani hakuna talaka hadi mauti! Ukweli mchungu! Tena fundisho la Yesu mwenyewe!
 
Ndoa ya kanisani inavunjika na kuruhusiwa kuoa au kuolewa tena kwa mara nyingine ikiwa mwenza bado yuko hai?
Nakumbuka sababu moja tu inaweza kupelekea hiko kutokea, uasherati/uzinzi.

Sasa kwa haya maelezo, wanaangukia kwenye kundi lipi?

Lakini mambo ya ndoa na mahusiano ni magumu sana, wakati mwingine ni rahisi sana kulaumu au kutia watu moyo kama mambo hayajakufika.
Hata uasherati hauvunji ndoa ni misinterpretation tu. Yesu anasema toka mwanzo halikuwa kusudio la Mungu kuwe na talaka lakini Musa aliruhusu sababu ya ugumu wa mioyo ya wana wa Israel.

Lile neno ambalo Yesu anaposema alichounganisha Mungu mwanadamu asitenganishe alafu aruhusu talaka? Lile andiko wanalochukua wengi la "isipokuwa uasherati" linatafsiriwa vibaya. Kwanza kwa wataalam wa Bible wanasema neno uasherati lilitumika kwa kukosa msamiati sahihi lakini kutoka kwenye lugha halisi si uasherati. Nitatafuta ufafanuzi wa kina niweke hapa.
 
Back
Top Bottom